Nikadhani umetuletea sheria/kanuni zenyewe,kumbe umetuletea maelezo ya mwandishi na si ajabu akawa Maulid Kitenge.Basi acha tuendelee kusubiri wahusika wenyewe watupe taarifa sahihiKanuni ndo hizoView attachment 2651393
Hizi ndo kanuni au mtu nukuu ya maneno ya mtu??Kanuni ndo hizoView attachment 2651393
View attachment 2651403
Hii kanuni ilibadilishwa lini?
Utopolo na sheria zaoView attachment 2651395
Assist sio magoliTuzo ni mfungaji Bora,,,assist zinahusikaje mkuu,?,
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Msijilishe upepo hiyo taarifa haina ukweli.
Kwani si tumekubaliana kwa pamoja hicho kiatu achukue Saido Ntibazonkiza, ili kupunguza machungu kwa ndugu zetu makolo! Au kuna mabadiliko tena?Hivi kwanini Bongo tunaishi kama gari bovu. Ada za usajili za wachezaji haziwekwi wazi, hata malipo viwanjani nayo magumashi kibao.
Haya tuwekeeni hapa kifungu cha kanuni ya bodi ya ligi kuhusu mfungaji bora.
Ahsanteni.
Kanuni zinabadilika kila mwaka?Hii ilikua ni kanuni ya uendeshaji wa ligi msimu wa 2021/2022.
Je, kanuni inasemaje katika msimu wa 2022/2023?
Inawezekana wote hawakuwa na magoli ya penati.walifungana kwa kila kitu,ndiyo maana waligawana sawa,(sina uhakika)Rejeeni 2016/2017 wafungaji bora walikuwa wawili na wote walipewa zawadi
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kabla ya kila msimu board ya Liki hutoa Kanuni zitakazotumika msimu huo wa ligi. Zisipobadilika it's okay, ila swali langu ni je, kanuni za msimu huu zinasemaje?Kanuni zinabadilika kila mwaka?
Sasa mbona ceo wa bodi ya ligi alipohojiwa kasema mpaka kamati ya tuzo ikae?Kabla ya kila msimu board ya Liki hutoa Kanuni zitakazotumika msimu huo wa ligi. Zisipobadilika it's okay, ila swali langu ni je, kanuni za msimu huu zinasemaje?
Ili wapitie rekodi na kanuni na mambo mengine.Sasa mbona ceo wa bodi ya ligi alipohojiwa kasema mpaka kamati ya tuzo ikae?