cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora wawapee wotee tyuuh, maana mzozo utakao zuka hapa sio wa nchii hii.Dah!! Nilidhani wanakwenda kupitia ksnuni, kumbe wanaenda kuamua anayestahili?
Leo nimelazimika kupitia kanuni zote za ligi kwa msimu wa 2022/2023, sijaona popote wamezungumzia kuhusu Mfungaji bora. Hayo maamuzi ya kuamua mshindi ni lazima wakarushe shilingi huko[emoji2]