Dah!! Nilidhani wanakwenda kupitia ksnuni, kumbe wanaenda kuamua anayestahili?
Leo nimelazimika kupitia kanuni zote za ligi kwa msimu wa 2022/2023, sijaona popote wamezungumzia kuhusu Mfungaji bora. Hayo maamuzi ya kuamua mshindi ni lazima wakarushe shilingi huko[emoji2]