Kanuni ya mfungaji bora wa ligi kuu NBC inasemaje? Tuwekeeni vifungu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora wawapee wotee tyuuh, maana mzozo utakao zuka hapa sio wa nchii hii.
 
Kupunguza migogoro na mijadala isiyo na mantiki kila mmoja apewe zawadi yake
Kama magoli ya penalty sio magoli basi yasiwe yanahesabika katika kuonyesha idadi nani anaongoza katika ufungaji
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…