Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hello habari!
Umri wangu huu wa miaka utu uzima nimejifunza mambo mengi mno.
ASili ya binadamu ni kupenda jambo zuri hasa lile ambalo anahisi anaweza kulifikia.
Duniani kuna maelfu ya kazi, malaki na mamilioni ya wanaume kwa wanawake.
Kuna fursa nyingi za kiuchumi, kuna courses nyingi za kusoma, kuna nchi nyingi za kuishi au kutembelea.
Sasa linapokuja suala la kuchagua njia ya kuiendea hapo ndipo nafsi zetu au mapenzi yetu yanakuwa na nguvu kuliko mapenzi ya Mungu.
Ila mwisho wa safari utagundua kuwa kama ungechagua kusikiliza chaguo la Mungu ungekuwa sahihi zaidi.
Umri wangu huu wa miaka utu uzima nimejifunza mambo mengi mno.
ASili ya binadamu ni kupenda jambo zuri hasa lile ambalo anahisi anaweza kulifikia.
Duniani kuna maelfu ya kazi, malaki na mamilioni ya wanaume kwa wanawake.
Kuna fursa nyingi za kiuchumi, kuna courses nyingi za kusoma, kuna nchi nyingi za kuishi au kutembelea.
Sasa linapokuja suala la kuchagua njia ya kuiendea hapo ndipo nafsi zetu au mapenzi yetu yanakuwa na nguvu kuliko mapenzi ya Mungu.
Ila mwisho wa safari utagundua kuwa kama ungechagua kusikiliza chaguo la Mungu ungekuwa sahihi zaidi.