Kanuni ya Uumbaji (Kanuni ya 6)

Kanuni ya Uumbaji (Kanuni ya 6)

Kile unachokivulia heshima zako na kukifanya kitawale maamuzi yako.
Au kujiona ndio kimekuumba na bila hicho wewe haupo.

vizuri sana... ..
mungu maana yake ni kitu unachokiabudu, na kuabudu maana yake ni kile unachokivulia heshima zako na kukifanya kitawale maamuzi yako au kuona ndio kimekuumba na bila hicho huwezi kuwepo.

kwa maana hiyo mungu ni kitu chochote unachokiamin na kukiabudu.
 
vizuri sana... ..
mungu maana yake ni kitu unachokiabudu, na kuabudu maana yake ni kile unachokivulia heshima zako na kukifanya kitawale maamuzi yako au kuona ndio kimekuumba na bila hicho huwezi kuwepo.

kwa maana hiyo mungu ni kitu chochote unachokiamin na kukiabudu.

Ndio maana yake
 
vizuri sana... ..
mungu maana yake ni kitu unachokiabudu, na kuabudu maana yake ni kile unachokivulia heshima zako na kukifanya kitawale maamuzi yako au kuona ndio kimekuumba na bila hicho huwezi kuwepo.

kwa maana hiyo mungu ni kitu chochote unachokiamin na kukiabudu.

kwa maana hii ... miti,mawe,jua,mwezi,shetani ,yesu,Mohammed,ng·ombe n.k ni mungu??? aretasludovick
 
Last edited by a moderator:
Gooood... .. . aretasludovick
Swali langu la mwisho kwako:~ Ni sifa zipi zinazofanya umungu (sababu zinazofanya kitu kionekane ni mungu)

Mwenye mungu ndio anajua sifa za mungu wake.
Mfano wewe mungu unaemwabudu, ndio unajua sifa zake.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Bennie 369 Hebu muache aretasludovick mbona jibu rahisi tu nyie mnazunguka zunguka? Mungu ni Myth.

teh teh teh teh.... naona umekuja kumsaidia???

myths ninavyojua mimi ni zile story kutoka kwa wazee wazamani katika kuelezea jambo katika hali ya kawaida/kufikirika na ni vitu ambavyo havipo au vya uongo,
kwa maana hiyo Jimena unamaanisha kuwa mungu&Mungu ni mapokeo tu kwetu ila hakuna uhalisia wowote juu yake???
 
Last edited by a moderator:
teh teh teh teh.... naona umekuja kumsaidia???

myths ninavyojua mimi ni zile story kutoka kwa wazee wazamani katika kuelezea jambo katika hali ya kawaida/kufikirika na ni vitu ambavyo havipo au vya uongo,
kwa maana hiyo Jimena unamaanisha kuwa mungu&Mungu ni mapokeo tu kwetu ila hakuna uhalisia wowote juu yake???

Uko sawa kabisa mkuu wala hukukosea
 
Last edited by a moderator:
Uko sawa kabisa mkuu wala hukukosea

kipindi upo shule ya msingi au sekondari kuna watu walishawahi kuja shuleni kwenu ambapo wanaweza kumchukua chura alafu akaonekana ni nyoka au wanaweza kuchukua makaratasi yakawa hela, walikuwa wanaitwa wana mazingaombwe je ulishawah kushuhudia Jimena
 
Last edited by a moderator:
kipindi upo shule ya msingi au sekondari kuna watu walishawahi kuja shuleni kwenu ambapo wanaweza kumchukua chura alafu akaonekana ni nyoka au wanaweza kuchukua makaratasi yakawa hela, walikuwa wanaitwa wana mazingaombwe je ulishawah kushuhudia Jimena

Ndio nimeshawahi kushuhudia mazingaombwe wakati niko shule
 
Last edited by a moderator:
Ndio nimeshawahi kushuhudia mazingaombwe wakati niko shule

unaweza kuthibitisha kuwa ile ni aina gani ya nguvu inayotumika kufanya vile vitu kubadilika? au unajua hii ni aina gan ya nguvu inay0tumika???
 
unaweza kuthibitisha kuwa ile ni aina gani ya nguvu inayotumika kufanya vile vitu kubadilika? au unajua hii ni aina gan ya nguvu inay0tumika???

YouTube kuna video zinazoonyesha jinsi wanavyofanya.
 
Back
Top Bottom