Kanuni za soka ambazo huzijui!

Song of Solomon

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2021
Posts
2,752
Reaction score
5,609
1. Kwenye mpira wa goal kick hakuna offside. U can't be Offside from a goal kick.

2. Goli halihesabiwi ikiwa mpira ulikuwa hauna upepo (Flat) wakati unapigwa.

3. Mwamuzi anaruhusiwa kukuonesha kadi ya njano ikiwa umempiga chenga za maudhi zenye nia ya kumdharirisha mpinzani wako.

4. Utaoneshwa kadi ya njano na mpinzani wako atapewa kona ikiwa umejifunga goli kwa makusudi / Kwa kudhamiria.

- Mwamuzi anapaswa kujiridhisha kuwa umejifunga kwa makusudi ndipo akuadhibu.

5. Mchezaji anaweza kukataa kufanyiwa sub. Hakuna adhabu iliyoainishwa.

6. Mpira wa kurusha ukiingia golini bila kuguswa na mchezaji yeyote sio goli.
Ongezea na wewe.


 
Ya 3. [emoji849][emoji849]
 
Mchezaji akizidi kichwa, mkono, bega ni offside.
 
Hii namba tatu naiona kwa pape Othman Sakho[emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…