(Kanusho): Davido ajibu wanaomvotia tuzo za MAMA 2015

Status
Not open for further replies.
Nmefanya research na dissertation nimeandaa kwanA hata iyo dp sio ya ig account ya davido.

Nasema iviii sio ya kwakeee!
Na mie namjibu iviiii,"am sole davido, ego am gonna vote vote and vote until I die, u dont want that u gonna have to kill me ooo!"

Baambie baelewe na vihede mswede vyao...


wazee wa fekero account...
Aibu yaoooo
Na kura hatuwachi kupigaaa...

Davido ndio nani?
 
Kwa davido instagram, haswa yenye picha ya twitter ndio wamejazana humo comments zaidi ya 500.

Ila kwa touch unaweza zoom na vidole ukishabonyeza picha hizo.
Nkizoom inakua haikoclear ngoja nkacheki huko huko
 
hahaha yule ujue sio rizki so simshangai....vote vote vote

kwa mara ya kwanza leo nimeanza kampeni ya kupiga kura rasmiiiiii.......

mtanisamehe sina uzalendo huoooo!!!
maana uzalendo wangeanza serikali kututhamini sie walimu wa primary na wala si kura za mzikiii....!!!!

na hv kaniambia changudoa llooohhh...!!!

atajutraaaa!!!
 
hehehh I go land you a slap ooo!!!
Kila mahala wachawi mpo tu mnaumbua teh! teh!

Ha ha ha ha, habari ndio hiyo.Waache wapige kelele sisi ndio kwaanza tunavote....
Hilo la kuitwa wachawi sasa hivi naona kama sifa hivi!
Heheheheeee
 
Duh napata mashaka sana na mashabiki wa Diamond kwa sasa inawezekana hawa ndio watamuangusha kwa ujinga wao.
-wakati wa kupiga kura KTMA walitumia codes za Kiba kuwaambia watu za Diamond.
-wakafungua page fake ya KTMA
-leo page fake ya Davido
Mnafanya dogo aonekane kapanick wakati mashabiki ndio mmepanick sana kila takataka mnayoipata mnaileta fast bila kufikiria sijui ni washabiki wa aina gani kuna muda kuzungukwa na sisi miswahili ni tabu tupu jitu linadhani lina promote kumbe ndio anaharibu kabisaaa.
Ivi kwa nini hata huu ushawishi wa kuomba kura apigiwe Diamond utumie kigezo cha uzalendo pekee na sio uwezo wake ni vema alie timamu kidogo atueleze ubora wa Diamond dhidi ya alio kua nao kwenye category moja hadi nyingine maana Tz uzalendo haupo kwa miaka mingi hata kabla ya huu muziki mfn mpira tunashangilia Ulaya,ngumi za nje,movie za nje alafu leo utie huruma ya uzalendo kwanza hata kama unapambana alie bora,tukiuliza hapa wimbo wa Diamond ulioingia kwenye hizo award sidhani wazalendo wenzangu tunajua na huu uzalendo tunatakiwa tumuonyeshe tu Diamond ingawa yuko na Vee Money ila hapa atambuliki kama wa kwetu na wala hana thread umu za wazalendo kweli maisha bila unafiki hayaendi.
 
Haya walo busy kumtafutia bosi wao mume habari ya Naija mtandaoni Davido ndio ana wake na wamebarikiwa mtoto, Mungu awe nao wazazi.

Msisahau kumpigia kura Diamond katika category tatu

http://mama.mtv.com/voting/
 
Haya mambo ya timu mnaenda mbali ila mimi pia nimeona posting ya hiyo screenshot ya Davido post #1 kwenye account za wa Tanzania huko.
 
Mi nafurah tu vile team PLATNUMZ tunavyoyapuuza. Wanajibizana wenyewe. Hahahahahahahaha...

Mmepuuza wapi?
Au mpo intoxicated? Mnajaza thread na pumba zenu na migazeti yenu au sio nyie?
 
Puuuuumbaaaaaaa. Com nyoooooo na badooo mtakunya mavi mjipake mwaka huu nilizani davido oficial nikakuta ni upuuzi mweeeeeeeee na bado mtajutraaaaa tena team domo nyie ndo mnatia aibu kule kwenye page ya davido mzurimie hongerra kwa kuanzisha sred

Hahahahaaa, mwenyewe kaona kaanzisha bonge la sred ambalo litatukimbiza wote badala yake kakimbia yeye.
Aibuje sasa?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…