Davido ndio nani?
Sipati picha week hii ile chekecha video ikiwa released, nahisi kuna watu wale #TeamUzalendo watatengeneza Acc fake ya Obama ili kuiponda video.
Nifanye risechi nani atanilipa kwa muda wangu gani juu ya udaku? Aaaghh leo sio ya kumsimanga Diamond ndio unasema haya na sie tunajua kuleta udaku jamani humu.
Kubalini aibu inatembezwa na wa Tanzania wa Ajegunle, mumus.
Sisi ambao hatujatokea Ajegunle tutampigia kura MTANZANIA MWENZETU Diamond Platnumz
Mnatia aibu kuonea wivu mtanzania mwenzenubwakati uhusiano ulikuwa wa wema na sio wenu khaaaa kufata vikumbo mumus
View attachment 261119
Huwa ana magazeti huyu dada utajutaaa
Hahahahaaa, mwenyewe kaona kaanzisha bonge la sred ambalo litatukimbiza wote badala yake kakimbia yeye.
Aibuje sasa?
Huwa ana magazeti huyu dada utajutaaa
gazeti ni ishara ya kupaniki...sisi ndio watanzania bwana tumechoka kila sekta. yani mafanikio yako tena mimi nanunua cd zako nakuvotia deile leo unidharau as if amekuwa raisi wa dunia?? no way ndimu zote anakula yeye
Ninaomba MFUATE UTARATIBU HUU ILI KUPIGA KURA. NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA KUONYESHA MSISITIZO
1. FUNGUA HAPA - http://mama.mtv.com/voting/
2. TAFUTA MAHALI PALIPOANDIKWA -You must be logged in to vote! Login or Sign Up ILI UWEZE KUJIREGISTER. KUMBUKA TAARIFA ZAKO ZITABAKI KUWA SIRI
3. ANZA KUPIGA KURA KUFUATA VIPENGELE KAMA IFUATAVYO
A. BEST MALE = DAVIDO
B. BEST FEMALE = VANESSA
C. BEST COLLABORATION = DAVIDO FT UHURU THE SOUND
D. BEST LIVE = FLAVA
Huu ndio utaratibu utumike tafadhali. nifah au Ms.Lincoln naomba muyaweke haya kwenye rangi nyekundu ili kila mtu aone.
Passive resistance ni muhimu sana ili diamond abadilike. tunbampenda sana msanii wetu ndio maana tunamkumbusha alipokosea ili ajirudi
Aiiiibuuuuu buuuuuu!
Hahahahaaa, mwenyewe kaona kaanzisha bonge la sred ambalo litatukimbiza wote badala yake kakimbia yeye.
Aibuje sasa?
Ndimu zimedundaaa tunataka Tindikali kabisaaa, uzalendo my foot!
do them plsssssAsante mamy yaani navote category moja nusu saa nahamie ingine na vile sina limit kwenye kuvote watafurahi na shoo
Mwenyewe kwenye post yake aliyoanzishia sred kasema tumejitia aibu, alivyogundua kachemka kakimbiaje?
Hahahahaaa
Jamani Ms.Lincoln yupo wapi Mzuri mie nimpongeze kwa kuanzisha sred. Hahahaaaahaaaaaaa jaman leooooo