(Kanusho): Davido ajibu wanaomvotia tuzo za MAMA 2015

Status
Not open for further replies.
Shoga unamuulizia huyo tu? Wenzie hujawaona walivyoanza kushangilia?
Sijui kwanini hili jukwaa limekua hivi jamani.
Yaani watu wanapata aibu kila siku na hawakomi, ningekua ndio mimi nisingeingia huku siku nzima...
Hahahahaa uwiiiiiii!

Nimeona mwanzo wameshangilia na kuwika kama majogoo na kuitana loo mambo yalivyobadilika sasa nani kabaki wametoka ndukiiiiii
 
Nimeona mwanzo wameshangilia na kuwika kama majogoo na kuitana loo mambo yalivyobadilika sasa nani kabaki wametoka ndukiiiiii

Hahahahaaa uwiiii! Sitaki cute b pls pls my dear.Jana nimelala baada ya kumeza headaxe maana nilicheka kwenye ule uzi wa "babe alivyonunuliwa Lamborghini" balaaa.
Sasa leo tena unataka nimeze dawa tena?
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa uwiiii! Sitaki cute b pls pls my dear.Jana nimelala baada ya kumeza headaxe maana nilicheka kwenye ule uzi wa "babe alivyonunuliwa Lamborghini" balaaa.
Sasa leo tena unataka nimeze dawa tena?

Hahahaaa cheka tuu mamy maana ingekuwa kweli hawa watu wangetuchambaaaa
 
Last edited by a moderator:
Waache kupika nini wakati hapo kacomment,eti mzuri Mie SI hapo amecomment kwenye page yake,lakin utabishiwaa Tu kua ni fake wakati ni davido kawakomesha kina dogstyle
 
Waache kupika nini wakati hapo kacomment,eti mzuri Mie SI hapo amecomment kwenye page yake,lakin utabishiwaa Tu kua ni fake wakati ni davido kawakomesha kina dogstyle

Hahahahaaa, mimi nikadhani ulivyokaa kimya wewe ni mjanja lakini umerudia yaleyale.
Hebu tuliza kichwa kwanza angalia acc original ya Davido instagram na hiyo kama zinaendana.
 
Hahahaaa cheka tuu mamy maana ingekuwa kweli hawa watu wangetuchambaaaa

Hahahahaaa tungechambwaje? Leo tungekimbia JF shoga ang, ila walivyojua wamechemsha hawaonekani.
 
Hahahahaaa, mimi nikadhani ulivyokaa kimya wewe ni mjanja lakini umerudia yaleyale.
Hebu tuliza kichwa kwanza angalia acc original ya Davido instagram na hiyo kama zinaendana.

hahaha DINzarde ana roho ngumu...wenzake wote wamezirai kwa tindikali ile ila yeye yumo tu?
 
Last edited by a moderator:
mtabisha mno safari hiii,hapo ni kakoment kwenye page yake

Hahahahaaa, hivi unadhani Davido anaweza kufanya huo upuuzi kweli?
Hivi kuna mwanamuziki anayeweza kuwakataza watu wasimpigie kura?
Halafu angalia hiyo lugha mbovu aliyotumia...
 
Nifanye risechi nani atanilipa kwa muda wangu gani juu ya udaku? Aaaghh leo sio ya kumsimanga Diamond ndio unasema haya na sie tunajua kuleta udaku jamani humu.

Kubalini aibu inatembezwa na wa Tanzania wa Ajegunle, mumus.


unanifurahishaga sanaaa,unawaumizaje kichwa humu,yaan davido kawakana hhhhhhaaa mamaeeee vidude vimewasimama wanamtamani davido hhhhhhhaaaaaaaa
 
Hahahahaaa tungechambwaje? Leo tungekimbia JF shoga ang, ila walivyojua wamechemsha hawaonekani.

Shoga umenichekesha ulivyowaita wa kukurupuka nikakumbuka futuhi hahahaaaaaaaaaaa
 
unanifurahishaga sanaaa,unawaumizaje kichwa humu,yaan davido kawakana hhhhhhaaa mamaeeee vidude vimewasimama wanamtamani davido hhhhhhhaaaaaaaa

Hahahahahahaaa uwiiiiii Dinazarde umeua bendi leo aisee.
Yaani nimekushtua usizidi kujiaibisha halafu hunisikilizi...
Haya bwana, subiri ukirudiwa na fahamu zako kama hutotamani kufuta comments.
 
Last edited by a moderator:
Humu ndani kuna joto balaa! uchanguzi mkuu sijui itakuaje
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…