Giovanna Upunda
Member
- Aug 11, 2024
- 54
- 24
Siasa za sasa zimekuwa na mtindo tofauti hasa katika kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa Jamii na baadae kukanushwa kwa lengo la kuwaaminisha wafuatiliaji wa mambo kuwa kilichoandikwa na kupostiwa sehemu fulani sio cha kweli.
Swali langu je nini kinakusudiwa baada ya jumbe au posti zinazopostiwa sehemu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii na baadae kukanushwa?
Chini nimekuwekea moja ya ujumbe uliosambaa katika mitandao ya kijamii na baadae kukanushwa.
Swali langu je nini kinakusudiwa baada ya jumbe au posti zinazopostiwa sehemu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii na baadae kukanushwa?
Chini nimekuwekea moja ya ujumbe uliosambaa katika mitandao ya kijamii na baadae kukanushwa.