Kanusho la John Mrema wa Chadema bado limeacha maswali mengi kwa wananchi

Kanusho la John Mrema wa Chadema bado limeacha maswali mengi kwa wananchi

Joined
Aug 11, 2024
Posts
54
Reaction score
24
Siasa za sasa zimekuwa na mtindo tofauti hasa katika kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa Jamii na baadae kukanushwa kwa lengo la kuwaaminisha wafuatiliaji wa mambo kuwa kilichoandikwa na kupostiwa sehemu fulani sio cha kweli.

Swali langu je nini kinakusudiwa baada ya jumbe au posti zinazopostiwa sehemu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii na baadae kukanushwa?

Chini nimekuwekea moja ya ujumbe uliosambaa katika mitandao ya kijamii na baadae kukanushwa.


WhatsApp Image 2025-02-20 at 05.11.56.jpeg
 
Wafanya propaganda wa CCM, wengi wao hawana akili wala weledi. Wanatengeneza accounts fake wakidhani watu wengi hawana akill kama wao, hivyo watauamini upuuzi walioufanya.


Chawa yeyote hana akili.
 
Wafanya propaganda wa CCM, wengi wao hawana akili wala weledi. Wanatengeneza accounts fake wakidhani watu wengi hawana akill kama wao, hivyo watauamini upuuzi walioufanya.


Chawa yeyote hana akili.
 
Unaweza kwenda kwenye account yake anayoitumia ku-post kila siku uone kama ali-post kitu kama hicho. Ndiyo umeingia kwenye mambo ya mitandao miaka ya karibuni nini?
Je hawezi kuposti na kisha akaifuta baada ya kuona inaleta taharuki?
Je posti ya Mnyika na Gazeti la Mwananchi zao pia ni Fake?
 
Wafanya propaganda wa CCM, wengi wao hawana akili wala weledi. Wanatengeneza accounts fake wakidhani watu wengi hawana akill kama wao, hivyo watauamini upuuzi walioufanya.


Chawa yeyote hana akili.
Posti ya Mnyika na Gazeti la Mwananchi ni Fake?
 
Mhusika amesema kuwa hiyo siyo account yake, wewe una ushahidi gani wa kuthibitisha kuwa ni account yake? Au nawe upo kwenye hilo kundi la punguani la kutengeneza accounts fake za kuwalisha watu maneno?
Kwani hawezi kuifuta na baadae akakana kama hajaiandika yeye?
 
Back
Top Bottom