Kanyaga haitafika Mbali

Wanafiki kama wewe kanyaga
 
Hahahahahaa B dozen..

Hapo mawinguni hamjambo
 
pole husda mbaya sana
 
Kwani bongo flavor ni ipi
 
Diamond anafanya kile wananchi wanapenda.

wataznania hawapendi content za kuelimisha.

NB:
Ukitaka kupata mashabiki wengi hapa TZ imba nyimbo za kuchamba.
Inabidi aitafute ule wimbo wa Bwax unaitwa unaringa nini dada ataelewa zaidi
 
Thread kama hii ni kukanyaga tu.

NB: Tangu 2012 tulisikia haya maneno kuwa anguko lake linakaribia, tuendelee kusubiri meli uwanja wa ndege

KANYAGA [emoji817][emoji817][emoji817]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…