Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,737
- 3,534
Huyo wa kukanyaga tuUtasubiri sana anguko. Jua litakuwakiwa sana ukisubiri anguko la wengine. Vijana wavivu ndio mara nyingi mna wivu usio wa maendeleo. UTATESEKA SANA KUSUBIRI ANGUKO,NA HALITATOKEA
KwNi laxima atoe yeye si mtoe nyinyi sinazoelimishaKiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!
Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.
Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.
Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo
Bdozen
Dimondi bana....juzi kati katuambia..tetema..vijana wakatetema
.kidogo vijana inama...haooo wakainama sasa anatuambia kanyaga sasa cjui nani atakanyagwa
Kama akianguka yeye wewe Utajenga Ghorofa?Kiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!
Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.
Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.
Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo
Bdozen
Kenya tutwakanyagaa mkuu....Algeria tutawatetemesha....ila.hii kuinama..hatutakubali .Mpaka taifa stars wakatetema. Wakaenda afcon.
Sasa tunasubiri kuwakanyaga watani zetu Kenya kesho kutwa.
Sikiliza nyimbo nyingine, kwani kakuimbia wewe?
natunawakanyaga kweli alaff watamu haoMimi nimependa ule mstari wa kanyaga ma X
Kama Hujui Pole ila Huwa ana immba maisha yake binafisi na maisha ya Watu kwahiyo Yuko vizuri
natunawakanyaga kweli alaff watamu hao
na tuendelee kuwakanyaga hakuna namnaJuzi nimemkanyaga x wangu akaniambia nimekuwa fundi kama Messi. Nikamwambia ndio maana yake, siku hizi nacheza mechi za kimataifa, sio Ndondo Cup kama hizi. Nafikiri anajuta kunisifia!