hili nalo neno aiseeMziki lengo lake ni burudani na uasharati tu. Unapotegemea uelimishwa kupitia mziki, wewe sio mzima. Shuleni hujaelimika? jamii haijakuelimisha? Hakuna elimu utakayoipata kwenye mziki. Amkeni!
hahahaha teacher snowhite unajua watu wanaofanya kazi sana na kujituma huchukiwa bila sababu na ndicho kinacho mkumba Diamond .....shida ya hawa watabiri nao hawana imani na utabiri wao..........HILI ANGUKO TOKA MLIPOANZA KULITABIRI!
nakwambia motto kashaanza shule amepata mpk umonita!
Kiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!
Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.
Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.
Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo
Bdozen
Wanga woteeee kanyagaaaaa wasituletea Giza hapa.Jamaa Unawanga jua lote hili....ππ³
Uchawi sio lazima umiliki matunguli
Huyu ni wa kukanyaga tu, hakuna namna.Kijana kashabikie lede mziki upo juu ya kiwango chako haiwezekani watu wengi tuupende ww pekee upinge
Wavivu wote kanyagaaaUtasubiri sana anguko. Jua litakuwakiwa sana ukisubiri anguko la wengine. Vijana wavivu ndio mara nyingi mna wivu usio wa maendeleo. UTATESEKA SANA KUSUBIRI ANGUKO,NA HALITATOKEA
Au siyo.Wewe wasema, lakini ukweli ile ni ngoma moto sana. Wewe kama x wangu nakukanyaga tu
Riziki ya mtu ipo Mikononi Mwa MUNGU.Toka isemekane anguko lake liko karibu ni toka 2012 mpaka leo jamaa yupo tu sa sijui neno karibu lina maana ya muda kiasi gani
Perfecthili nalo neno aisee
Kiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!
Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.
Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.
Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo
Bdozen
Kiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!
Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.
Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.
Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo
Bdozen
Diamond hata akianguka sa hv sawa tu, jamaa kakitendea haki kipaji chake, ten yrs upo kwenye peak sio haba, na hawez kupatia kila kitu lazma kuna mahali alikosea au anakosea au atakosea, ni binadamu pia, hata akianguka leo hata kuja tokea mwanamziki from bongo mwenye ushawishi tz na nje ya tz kama mond, labda after 100 yrs ambapo sisi sote tutakuwa maitiKiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!
Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.
Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.
Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo
Bdozen
Dua la kukuUshauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo
Bdozen
Kulaleki πππ bado awe kiranja wa mazingira tuHILI ANGUKO TOKA MLIPOANZA KULITABIRI!
nakwambia motto kashaanza shule amepata mpk umonita!
ungeishia hapa kwenye hata akianguka ni poa maana ameitendea haki nafasi yake vilivyo.Diamond hata akianguka sa hv sawa tu, jamaa kakitendea haki kipaji chake, ten yrs upo kwenye peak sio haba, na hawez kupatia kila kitu lazma kuna mahali alikosea au anakosea au atakosea, ni binadamu pia, hata akianguka leo hata kuja tokea mwanamziki from bongo mwenye ushawishi tz na nje ya tz kama mond, labda after 100 yrs ambapo sisi sote tutakuwa maiti
haka kawimbo ni kabaya bana[emoji23][emoji23][emoji23]Hili anguko limeanza kutabiriwa kabla mwandishi hujabalehe!!!