Kanye West amtumia Magufuli viatu vya Yeezy 500 vyenye saini yake,kupanda Kilimanjaro 2019

Vina cancer hivyo viatu, naamini serikali itavichoma moto na kusahau kabisa
 
Hata tanzania visiguse maana kuikosa zawadi hiyo hakutakuwa na impact yoyote, na aende zake huko zawadi za viatu apeleke kwa watoto wake ama wazazi wake siyo kufunga safari mpaka africa unatoa zawadi za viatu hatuna shida navyo, sisi tunataka uwekezaji siyo usharobalo wa kuvaa.
 
Nataka Sizonje avae viatu hivyo...baada ya hapo lazma tuingie kwenye uchaguzi na nchi itakaa sawa sana!
 
nimewaza sana baada ya kusoma comments humu sasa na mimi nimeona huenda hivyo viatu vikiwa ikulu vikanasa mawasiliano muhimu maana naona kama sasa viatu vimekuwa tishio kubwa 😀
 
Aisee hivyo viatu bora vichomwe kabisa,havijatolewa kwa bahati mbaya tu na michezo yao tunaijua vyema tu kuanzia majaribio kwa Castro,maduro na ata kwa Bob Marley.
 
Ukizingatia Kanye a.k.a YE anataka kifutwe kifungu cha kinachokataza utumwa kilichowekwa ktk katiba ya marekani ktk mabadiliko ya 13 ya katiba, na alisema utumwa lilikuwa chahuo lao watu weusi naweza kuamini Kanye anaweza kutumika na wazungu kumhujumu Magufuli.

Museveni anatumiwa tu bila kujijua kama hii stori ni ya kweli.
 
[emoji3] Dah watanzania katika ubora wetu.
 
Viatuuuu ! Isje zikawa n mbinu za CIA ili magu yamkute kama Yale yaliyompataga BOB MARLEY,
MARK MY WORDS, hii dunia imeshachacha.
Hata .mm hilo linanitia shaka katumwa na trump.
 
hawatupati ng'oo. sisi siyo Kenya au Nigeria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…