Kanye West amuomba Mark Zuckerberg pesa kwenye Twitter

okoyoko

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
2,664
Reaction score
3,641
Juzi kati Kanye West alikiri twitter kuwa ana deni la dollar million 53, na alimuomba mark Zuckerberg 1 billion U$ dollars ili a-invest kwenye ideas zakey

Naona spending habits za hawa black American rappers zinawacost hlf yule Kim Kardashian hana mchango wowote kwa Kanye West Zaid ya kumyonya jamaa hela

Ila Kanye West ana moyo... Mmh
 
Rappers wengi USA wako broke
 
USA ni nchi yenye uchumi mkubwa na watu na serikali ya marekani wanatumia pesa nyingi sana kuendesha maisha sasa ukiwa celebrate wa marekani utajikuta unatumia vitu vya gharama sana ili ujitofautishe na wananchi ambao pia wana hela ile mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…