Kanye West angekuwa ni mbongo watu wangesema amerogwa na Diamond

Kanye West angekuwa ni mbongo watu wangesema amerogwa na Diamond

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Hii sio kawaida, angekuwa ni Mtanzania basi Kama kawaida zigo angebebeshwa Diamond Kama walivyofanya Harmonize, Dimpoz na Alikiba.
FB_IMG_16859729932093871.jpg


Hapa mwamba anaenda kanisani.
FB_IMG_16859730003304504.jpg
FB_IMG_16859729885943485.jpg


Tokea lini rapper akavaa taiti,yaani rapper anaonesha chura.
FB_IMG_16859729795215404.jpg
 
Mpaka picha ya mwisho sijaelewa kitu,naona anayapa promo makalio yake
 
Back
Top Bottom