Kanye West aondolewa kwenye orodha ya mabilionea, utajiri wake washuka baada ya Adidas kuvunja mkataba naye

Wabongo hatunaga story za kusaidiana mawazo ya kujikwamua kutoka sehemu moja kiuchumi kwenda nyingine... Yaani tunaongoza kwa kushabikia vitu visivyo na faida
Sasa jukwaa la celebrities upewe mawazo gani rafiki? Nenda majukwaa husika.
 
Wabongo hatunaga story za kusaidiana mawazo ya kujikwamua kutoka sehemu moja kiuchumi kwenda nyingine... Yaani tunaongoza kwa kushabikia vitu visivyo na faida
yaani tuna matatizo sana. Hata vyombo vya habari vikubwa navyo vina ugonjwa ule ule. Nimeshangaa jana tare 25 Nov 2022...azam tv taarifa ya habari wako bize wanaelezea ugonjwa wa kipindupindu ulioko syria, mpaka nikahamisha channel, nikatazama vitu vingine kabisa.
 
of all the contents humu JF bado umechagua kuja kulalamikia hii mkuu? kuna watu wanazitaka hizi na ni free world hii unachagua unachotaka kuona au kusikia
Yani tabu sana.. tunatofautiana uelewa. Ukiwa celebrity forum act like ones,ukiwa sports vivyo hivyo ukiwa jukwaa la mapenzi usiende na ulokole wako kule and so on..
 
Wale wayahudi feki wahuni tu kama alivyo kuwa Hitler. Jana ndo Kanye Kaua kabisa kaposti swastika ya Hitler [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Wazungu wanaruka ruka alivyowaambia kuwa wao black American ndio the real 12 lost tribe of Israel jamaa wamekasirika sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…