Acheni kuiganaKwahiyo kama wanaume wa Dar tukusaidie nini?
link mkuuDem wake anamzingua kuna kideo anapigwa bonge la ndonya dah tena mtandao pendwa jamaa anajitahidi sana kuzuia uchizi
weka link mkuu tuone hiyo kideo siamini hicho unachosema wakati yule ni mke wa mtuDem wake anamzingua kuna kideo anapigwa bonge la ndonya dah tena mtandao pendwa jamaa anajitahidi sana kuzuia uchizi
hahaha unaone eeeeehangalia superstar wa dunia anavaa buti ngumu kama hyo nguo bila shaka ni mtumba sijui tumfananishe na star gani hapa bongo
Nash mc? no Nikki mbishi no
ila jamaa kawa kauzu hatariView attachment 899128
weka link mkuu tuone hiyo kideo siamini hicho unachosema wakati yule ni mke wa mtuDem wake anamzingua kuna kideo anapigwa bonge la ndonya dah tena mtandao pendwa jamaa anajitahidi sana kuzuia uchizi
kabisa yaani hahahahahahaha unaone eeeeeh
Kazi muhimu ya nguo ni kukustahi inavyostahili, yawezekana ukahitimisha kutokana na ukosefu wa uelewa wa mavazi(brand) aliyovaa, angalau ungetuambia bei ya hizo vitu kwanza ili niweze kuchangia vizuri kwa kulinganisha na utajiri wake, yawezekana ukasema amevaa kimaskini ilihali hiyo shati inauzwa $1000 ama zaidi! Pale Posta mpya palikuwa na duka linaitwa Joshua International, kama uliwahi fika pale ama wenye walikuwa wateja wanaelewa nachomaanisha..angalia superstar wa dunia anavaa buti ngumu kama hyo nguo bila shaka ni mtumba sijui tumfananishe na star gani hapa bongo
Nash mc? no Nikki mbishi no
ila jamaa kawa kauzu hatariView attachment 899128
nimewahi kufika basi?? ndo kwanza napasikiaKazi muhimu ya nguo ni kukustahi inavyostahili, yawezekana ukahitimisha kutokana na ukosefu wa uelewa wa mavazi(brand) aliyovaa, angalau ungetuambia bei ya hizo vitu kwanza ili niweze kuchangia vizuri kwa kulinganisha na utajiri wake, yawezekana ukasema amevaa kimaskini ilihali hiyo shati inauzwa $1000 ama zaidi! Pale Posta mpya palikuwa na duka linaitwa Joshua International, kama uliwahi fika pale ama wenye walikuwa wateja wanaelewa nachomaanisha..
Aha! Hilo duka miaka ya 2000 niliwahi fika, nadhani 2003 or 2004, kiblauzi kilikuwa kinauzwa Tshs 90,000 ama zaidi!nimewahi kufika basi?? ndo kwanza napasikia
duuh noma sana mzeeAha! Hilo duka miaka ya 2000 niliwahi fika, nadhani 2003 or 2004, kiblauzi kilikuwa kinauzwa Tshs 90,000 ama zaidi!
Celebrities wa majuu wanavaa brand tu ama wana designers, hapo Kanye unaweza kuta ameelekezwa kuvaa hivyo kulingana na mazingira ya shughuli iliyomleta, kuna wakati britney spears alionekana amevaa gauni na wajuzi wa mambo walisema linagharimu Mil 22 za kitanzania, ila kwa haraka haraka kwa macho yetu ya kibongo ungedhania elfu 60!duuh noma sana mzee
Naona Mmarekani Mweusi umechafukwa!!!so why do you bring it up? who has talked about Kim's past other than you? Don't be a pinhead, okay? Use your own advice.
[emoji23] [emoji23]Angekuwa ni mzungu ungesema jamaa yuko simpo sana.
Umetisha broHuyo ni ndugu yetu msafwa wa Iziwa Mbeya.
AhahahahHela alonunulia hiyo ndula punda haruki!!!
Kakudanganya nani?anavaa kimasikini ila ukimuhitaji kwenye show booking yake ni kuanzia dolloa laki saba (700,000usd) kwenda juu