Kanye West Skips Tanzania on East African Tour

kennedy0000

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
4,349
Reaction score
3,745
Wale watu wakujigamba kwamba wageni wa $10,000 a night wanafurika kwao wako wapi?

Of late wageni mashuhuri, kwanzia Melania na sasa Kanye na Kim Kardashian wamewapiga chenga.
Kunani?

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ™‚

Anyway, hapa Nairobi tunamgonja Kanye afanye connecting flight kutoka Entebbe, apate direct flight mpaka New York.
 
Kumbeba mtoto wa malkia wa uingereza ni kujishusha thamani na kuonekana bado mnastahili kuwa watumwa
 
Kanye hata mimi namfagilia huyo ni big fan wa D.Trump kama mimi, atakuwa lini Nairobi niende kumuona? Ataperform au itakuwaje, vipi kiingilio cha show yake shilingi ngapi?
I don't think he gonna perform. Maybe recording a video
 
Ilikuwa kwenye ratiba yake kutembelea TZ?? Ama kila anayefika kenya ni lazima aje na TZ.. Mbona last yr alikuja Bill gate huku TZ na hakufika Ke. Ni kitu cha kawaida
 
Ilikuwa kwenye ratiba yake kutembelea TZ?? Ama kila anayefika kenya ni lazima aje na TZ.. Mbona last yr alikuja Bill gate huku TZ na hakufika Ke. Ni kitu cha kawaida

Kwa Bill Gate Kenya ni kama second home. Huku hufika karibu kila mwaka.
 
Huku kutekana kutatuponza aisei..!
 
Mwache Kanye aende Kenya ili akanye, si hatuna vyoo vya porini.
Kanye ndio mdudu gani, OBAMA alikuja Bongo siku 7, kenya Siku mbili, Na ni mtoto wa Kikenya. Acheni ushamba nyie.
 
Kanye ameenda kunya Kenya.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Akimaliza Kunya mwambieni ajitawaze kisha arudi kwa Trump
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…