Kanye West Skips Tanzania on East African Tour

Kanye West Skips Tanzania on East African Tour

Wale watu wakujigamba kwamba wageni wa $10,000 a night wanafurika kwao wako wapi?

Of late wageni mashuhuri, kwanzia Melania na sasa Kanye na Kim Kardashian wamewapiga chenga.
Kunani?

😀😀😀🙂

Anyway, hapa Nairobi tunamgonja Kanye afanye connecting flight kutoka Entebbe, apate direct flight mpaka New York.
Uko kwao USA watu weusi wenyewe hawataki ata kumsikia msaliti uyo sasa sisi wa nini
 
Kenya uki flip flop becomes kanye!
What a coincidence.
Kenyatta too gives us a good kenya name.
 
Wale watu wakujigamba kwamba wageni wa $10,000 a night wanafurika kwao wako wapi?

Of late wageni mashuhuri, kwanzia Melania na sasa Kanye na Kim Kardashian wamewapiga chenga.
Kunani?

😀😀😀🙂

Anyway, hapa Nairobi tunamgonja Kanye afanye connecting flight kutoka Entebbe, apate direct flight mpaka New York.
Hana dili huyo
 
Wale watu wakujigamba kwamba wageni wa $10,000 a night wanafurika kwao wako wapi?

Of late wageni mashuhuri, kwanzia Melania na sasa Kanye na Kim Kardashian wamewapiga chenga.
Kunani?

😀😀😀🙂

Anyway, hapa Nairobi tunamgonja Kanye afanye connecting flight kutoka Entebbe, apate direct flight mpaka New York.
Ati Nairobi New York u will still have to wait!
 
Ilikuwa kwenye ratiba yake kutembelea TZ?? Ama kila anayefika kenya ni lazima aje na TZ.. Mbona last yr alikuja Bill gate huku TZ na hakufika Ke. Ni kitu cha kawaida

Hawa jamaa badala ya kijadili mambo ya maana hapa wanakuja na udaku tu. Ikitokea Obama kaja tz wanasema mbona kaanzia tz then kenya manyang’au yanaona wivu. Alikuja Bush akaa tz kelele mbona anaenda tz haji kenya. Akija mtu yeyote kwao kelele anakwepa tz, mara tz haina hadhi.
Wakenya mjue kitu kimoja wazungu/ smart people like Obama wakishapanga ratiba lazima waifuate. Saa nyingine mijifunze maisha na si mfikiri kujua kiingereza ndio maisha. Mchina hajui kiingereza lakini anawapa msaada wa chakula, anawajengea reli n.k
 
Ilikuwa kwenye ratiba yake kutembelea TZ?? Ama kila anayefika kenya ni lazima aje na TZ.. Mbona last yr alikuja Bill gate huku TZ na hakufika Ke. Ni kitu cha kawaida
pia billionaire wa abramovich alifika tz je ke alifikaa!! 😁😁
 
teh teh teh sasa huyu mpuuz wa kunya kanye ndiyo ujinga gani..... .Hahahaha
 
One thing you don't know is Uganda is a part of Tanzania[emoji23] so he technically visited Tz while he's there. Anything happening in Uganda, good or bad is affecting Tz in either way and vice versa.
Wale watu wakujigamba kwamba wageni wa $10,000 a night wanafurika kwao wako wapi?

Of late wageni mashuhuri, kwanzia Melania na sasa Kanye na Kim Kardashian wamewapiga chenga.
Kunani?

😀😀😀🙂

Anyway, hapa Nairobi tunamgonja Kanye afanye connecting flight kutoka Entebbe, apate direct flight mpaka New York.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Huku tumepiga stop wagen kwa ajili ya upelelezi maalam kutokana na tukio lililotokea la kupotea kwa mo likiusishwa na raia wakigen especially wazungu

Japokua kanye west alijitetea sana kwamba yuko hapa kwa nia nzuri tu hivo angependa kuruhusiwa angalau asafishe macho tu maana anaskiaga tu kua raisi mstaafu obama alishawah kutembelea nchi hii

Lakini hata hivyo kutokana na sababu zakiusalama alizuiwa mwanamziki huyo wakimarekan
 
Kanye hata mimi namfagilia huyo ni big fan wa D.Trump kama mimi, atakuwa lini Nairobi niende kumuona? Ataperform au itakuwaje, vipi kiingilio cha show yake shilingi ngapi?
Wake za watu hamruhusiwi kwenda kumuona kanye west
 
Back
Top Bottom