Inategemea unazungumzia kanzu ya nani! kama ni sheikh au judge ni Gown, lakini kama ni Kanzu ya Kasisi (priest) inaitwa ALB inatokana na jina la Ki-ratin lugha ya Kanisa.
Wewe ziite kanzu tu. Au vyovyote upendavyo, buni jina uonalo linafaa.Tatizo nini?Write your reply...bado kwa upande wangu cjaelewa maana ya kanzu ni nini ,na zile wanazovaa waislamu zinaitwaje, tens zingine zinakuwa na kama shati na suruali yake, wahindi ndio wanapenda sana kuvaa
Kwa mujibu wa wanaisimu, Language is culture-specific. Msamiati wote unaopatikana kwenye lugha yoyote ile huwa ni ‘determined' na utamaduni wa watumiaji wa lugha hiyo!Kanzu inaitwaje kwa kiingereza?
Majibu mazuri. AhsanteKwa mujibu wa wanaisimu, Language is culture-specific. Msamiati wote unaopatikana kwenye lugha yoyote ile huwa ni ‘determined' na utamaduni wa watumiaji wa lugha hiyo!
Kwa mfano, wazungu hawavai kanzu, wala si sehemu ya utamaduni wao kabisa, hivyo hata neno ‘kanzu' kwao halipo.
Ushoga si sehemu ya utamaduni wa Kiafrika, hivyo kwenye lugha zooote za Kibantu, hutokuta tafsiri ya moja kwa moja ya neno la Kiingereza ‘bestiality/homosexuality'.
Kinachofanyika, inapotokea uhitaji wa kutumia neno kama hilo, kinafanyika kitu kinaitwa ‘nativisation'. Kwa hiyo, ‘Kanzu' inabaki kuwa kanzu tu. Eg, He is in a violet Kanzu.
Majibu mazuri. AhsanteKwa mujibu wa wanaisimu, Language is culture-specific. Msamiati wote unaopatikana kwenye lugha yoyote ile huwa ni ‘determined' na utamaduni wa watumiaji wa lugha hiyo!
Kwa mfano, wazungu hawavai kanzu, wala si sehemu ya utamaduni wao kabisa, hivyo hata neno ‘kanzu' kwao halipo.
Ushoga si sehemu ya utamaduni wa Kiafrika, hivyo kwenye lugha zooote za Kibantu, hutokuta tafsiri ya moja kwa moja ya neno la Kiingereza ‘bestiality/homosexuality'.
Kinachofanyika, inapotokea uhitaji wa kutumia neno kama hilo, kinafanyika kitu kinaitwa ‘nativisation'. Kwa hiyo, ‘Kanzu' inabaki kuwa kanzu tu. Eg, He is in a violet Kanzu.
kweli umesubiriwa na umefanya kweli😂😂😂Kanzu = Thobe (Ile tuliyoizowea kwetu hapa).
Alternative forms
Etymology
Arabic ثوب‎ (ṯawb).
Noun
thobe (plural thobes)
Source: thobe - Wiktionary
Ile wanayovaa mapadri na wajuu yao wa kanisa Katoliki inaitwa "Cassock".
noun 1. a long, close-fitting garment worn by members of the clergy or others participating in church services.
2. a lightweight, double-breasted ecclesiastical coat or jacket, worn under the Geneva gown.
3. a member of the clergy.
Origin:
1540–50; < Middle French casaque, perhaps < a Turkic word akin to the source of cossack
Source: Cassock | Define Cassock at Dictionary.com
[emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]"Terrorist Dress."