Not to that extent!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] anyway hebu yaishe asee, maana wengine sisi ndo wafia dini ya kisukuma, tusije tukapimana mkojo baadae[emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahahahaha pole sana !kwahyo kama kuna mambo hatufanyi vyema nisifie tu ? bas kwa tatarifa fupi nalipenda kabila langu !na huwa sijifichi hata kidg kwanza mie nikiskia neno sukuma huwa naanza kucheka !kuna vitu huwa nacheka mimi kaMa mm !hata tukiwa home siye hukumbushiana vituko na ushamba wa wasukuma !again POLE SANA SANA
Not to that extent!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] anyway hebu yaishe asee, maana wengine sisi ndo wafia dini ya kisukuma, tusije tukapimana mkojo baadae[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kaka maarufu kwa jina la Kaoge ambaye alileta tafrani baada ya kuhojiwa kwenye kipindi cha take one cha zamaradi mketema, na kukiri anajihusisha na vitendo vya jinsia moja amefariki dunia.
chanzo cha kifo chake inasemekana ni kushindwa kukubaliana na hali aliyokuwa nayo......( mjiongeze )
MBITIYAZA mbona sikusomi... mh!!NIMEKUSHangaa sana unasema ninakadharau fulan !dah !kwahyo kunanga wasukuma ndo ninadharau> mie nimeishi s=nje ya mwanza nikaja gundua wapi tunafeli kama wasukuma !
kijana wa miaka 17 Iringa mara nying huwa ameshajenga nyumba yake ya tembe anaishi au ameoa kbs anajitegemea na kutegemewa na wazaz wake !
lakini kijana huyu huyu wa age hyo mwanza anakaa kwa wazaz (compound ya wazaz wake )amepewa rum 2 mayb aishi na wake zake 2!na ana watoto hata 6 at tht age !
mwanamume wa kisukuma usishangae ana miaka 37 lakini bad anadepend kwa wazaz sanasana ana zid kuzaa kila mwaka !anaishia kuchunga tu ngombe za familia yao !nenda iringa,mBEYA vijijin hesabia nyumba ZISIZO na bati na tembe ni ngapi then nenda na mwanza UTANIELEWA !
kwaheri
asa sie tuliyekimbia huko tukaja huku kwa wahenga inakuwaje... bado ni wakuja etiee😵huwezi kamwe
Laiti wanaume wakiacha kuwala wanaume wenzao Ushoga hautokuwepoHakuna aijuae kesho yake, marehemu ndio amekwisha kufa, tuliobaki tuache kumkashifu kwani kuna kutubia, na Mungu pekee ndie anaejua na anaekubali toba ya mtu.
Swali la kujiuliza, hivi mwanaume rijali kabisa unaanzaje kumkula [emoji108] mwanaume mwenzio?? Duh! Mungu ameweka hukumu kali kwa kitu hiyo. Tuache unafiki adhabu ya hiyo inajulikana lakini tusiisemee sana tumuachie mwenyewe.
I repeat....God did not destroy Sodom and Gomorrah because of homosexuality. The people of those two cities were already evil even before the angels came and God was displeased with them. Read:Yuda 1:7
[7]Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kando-kando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele.
Isaya 1:9
[9]Kama BWANA wa majeshi asingalituachia mabaki machache sana, tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.
1 Timotheo 1:10
[10]na wazinifu, na wafiraji, na waibao watu, na waongo, nao waapao kwa uongo; na likiwapo neno lo lote linginelo lisilopatana na mafundisho yenye uzima;
labda mbingu ya mashoga yenye mungu shoga.Mungu siyo binadamu,mimi na wewe tunaweza kwenda motoni halafu yeye akaenda zake mbinguni!![emoji53][emoji53][emoji53]
nadhani kuna kitu kinaitwa " Utamaduni" ambacho unapaswa ujue kuwa kila kabila iko Nayo na ndiyo Id yake, siamini kama wasukuma ni wakosaji A-Z wana mazuri yao pia ambayo jamii nyingi zimeyatia kapuni kiasi kwamba mabaya ndo Yamekuwa Icon ya wasukuma,NIMEKUSHangaa sana unasema ninakadharau fulan !dah !kwahyo kunanga wasukuma ndo ninadharau> mie nimeishi s=nje ya mwanza nikaja gundua wapi tunafeli kama wasukuma !
kijana wa miaka 17 Iringa mara nying huwa ameshajenga nyumba yake ya tembe anaishi au ameoa kbs anajitegemea na kutegemewa na wazaz wake !
lakini kijana huyu huyu wa age hyo mwanza anakaa kwa wazaz (compound ya wazaz wake )amepewa rum 2 mayb aishi na wake zake 2!na ana watoto hata 6 at tht age !
mwanamume wa kisukuma usishangae ana miaka 37 lakini bad anadepend kwa wazaz sanasana ana zid kuzaa kila mwaka !anaishia kuchunga tu ngombe za familia yao !nenda iringa,mBEYA vijijin hesabia nyumba ZISIZO na bati na tembe ni ngapi then nenda na mwanza UTANIELEWA !
kwaheri