Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mungu siyo binadamu,mimi na wewe tunaweza kwenda motoni halafu yeye akaenda zake mbinguni!![emoji53][emoji53][emoji53]Kweli dunia mapito sema wasiwasi wangu ni huko aendako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu siyo binadamu,mimi na wewe tunaweza kwenda motoni halafu yeye akaenda zake mbinguni!![emoji53][emoji53][emoji53]Kweli dunia mapito sema wasiwasi wangu ni huko aendako
Malizia tu cd4 ziliisha akabaki na cd0Kaka maarufu kwa jina la Kaoge ambaye alileta tafrani baada ya kuhojiwa kwenye kipindi cha take one cha zamaradi mketema, na kukiri anajihusisha na vitendo vya jinsia moja amefariki dunia.
chanzo cha kifo chake inasemekana ni kushindwa kukubaliana na hali aliyokuwa nayo......( mjiongeze )
Motoni tuuu!!Alale Panapomstahili
Hakuna MkamilifuMotoni tuuu!!
Alikua muathirika akagoma kula doziRest in peace!
Kwa hiyo alicommit suicide au?
Suicide is never an option. Angepambana na hali yake tu.
Najua ila yule kwa uchoko ule moto anao!Hakuna Mkamilifu
[emoji57] [emoji57] [emoji57] naandamana mimi yule nikimkuta peponi nakata rufaaMungu siyo binadamu,mimi na wewe tunaweza kwenda motoni halafu yeye akaenda zake mbinguni!![emoji53][emoji53][emoji53]
Siku Bonny akifariki utalia sana eeehh!!?[emoji28][emoji28]Najua ila yule kwa uchoko ule moto anao!
well said rafiki.Mungu siyo binadamu,mimi na wewe tunaweza kwenda motoni halafu yeye akaenda zake mbinguni!![emoji53][emoji53][emoji53]
Usitaje Kwanza hilo neno la kufaaa ddaaaah!Siku Bonny akifariki utalia sana eeehh!![emoji28][emoji28]