Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,103
Kumbe huyu mzee anakaa magomeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka mkubwa samahani sana aisee, tafadhali nlkua naomba unisaidie jina la Wimbo Kamili, nimekua nikiutafuta sana huo Wimbo wa muda sana bila mafanikio ama Kwa mtu yeyote ambae atakua nao tafadhali naomba autume tuweze kuupakuaLeo asubuhi kwenye redio ya kabajaji, wakati nakuja kwa mkoloni:Haka kawimbo ka TOT kalinitafakarisha mengi sana:
Ooooh oooh *****,
Usilie na mimii mamaeee,
Mpenzi wako mimi sijamwita eeeh,
Kaona mambo wewe huyawezi, ndipo kaja kwangu
Yani mtu anakuchukulia kifaa chako afu anakupiga dongo "Kaona mambo wewe huyawezi, ndipo kaja kwangu".
Si kutafutiana ubaya na kesi za mauaji za bure mchana kweupe? Asprin hapendi, anawatakieni wikiendi njema.
Msisahau MALARIA HAIKUBALIKI..:israel::israel::israel: