bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 767
- 1,083
Tangu nimeanza kumwona huyu jamaa akitangaza Habari za biashara mara zote rangi ni ile ile, ni utaratibu wa ITV au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RANGI YA KOTI.Tangu nimeanza kumwona huyu jamaa akitangaza Mambo ya biashara mara zote rangi ni ile ile, ni utaratibu wa ITV au?
Alafu ni mdogo ila kajiachia mwili amekua kama mzee! Ule mwili sijui ameridhika na nn !
Ule mwili Kuna watu wanaupenda[emoji23][emoji23][emoji23]Alafu ni mdogo ila kajiachia mwili amekua kama mzee! Ule mwili sijui ameridhika na nn !
Raha ya ndoa bongo?Raha ya ndoa hiyo, magubegube mbadilike sasa
Tangu nimeanza kumwona huyu jamaa akitangaza Mambo ya biashara mara zote rangi ni ile ile, ni utaratibu wa ITV au?
Ila kuna watu mna moyo!!! Yani kabisa flat screen yangu 43 inch nimelipia king'amuzi cha mwezi unaangalia Itv, clouds, starehe tv,chanel ten?????? Hahaaaaaaa aiseeee mm nilishashindwa eti tbc!?? DahTangu nimeanza kumwona huyu jamaa akitangaza Mambo ya biashara mara zote rangi ni ile ile, ni utaratibu wa ITV au?
🤣🤣🤣🤣! Dah...chanel ten eti nikiitazama nahis km inaanua tanga imepoaaa...km ni chanel maalum ya majonzi vile...Ila kuna watu mna moyo!!! Yani kabisa flat screen yangu 43 inch nimelipia king'amuzi cha mwezi unaangalia Itv, clouds, starehe tv,chanel ten?????? Hahaaaaaaa aiseeee mm nilishashindwa eti tbc!?? Dah
Riziki ya mtu ni siriAlafu ni mdogo ila kajiachia mwili amekua kama mzee! Ule mwili sijui ameridhika na nn !
We msukuma wa nyaluyeye utaelewa nini!Rangi ya koti ina athari yoyote katika kutoa habari?
😀😁Alafu ni mdogo ila kajiachia mwili amekua kama mzee! Ule mwili sijui ameridhika na nn !
Kweli anabadili but rangi ni ile ile.Anazo nyingi zinazofanana
Mkuu unaangaliaga channel zipi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Dah...chanel ten eti nikiitazama nahis km inaanua tanga imepoaaa...km ni chanel maalum ya majonzi vile...
Startv nikimis kucheka...
Tbc nikiangalia nakua mtu wa jazba tu had ulcers zinaamka...
Sina mahaba na tv mmMkuu unaangaliaga channel zipi?