Kaparatu wa ITV Mbona huwa habadili rangi ya koti?

Kaparatu wa ITV Mbona huwa habadili rangi ya koti?

Ila kuna watu mna moyo!!! Yani kabisa flat screen yangu 43 inch nimelipia king'amuzi cha mwezi unaangalia Itv, clouds, starehe tv,chanel ten?????? Hahaaaaaaa aiseeee mm nilishashindwa eti tbc!?? Dah
Usipopenda vya kwenu hata hivyo unavyovipenda vya majuu havina thamani kwako..... Ulimbukeni ni mzigo
 
Ila kuna watu mna moyo!!! Yani kabisa flat screen yangu 43 inch nimelipia king'amuzi cha mwezi unaangalia Itv, clouds, starehe tv,chanel ten?????? Hahaaaaaaa aiseeee mm nilishashindwa eti tbc!?? Dah
Hiyo tv unaniuzia shilingi ngapi
 
Weka Picha akiwa kavalia hilo koti la kahawia.
 
Picha yake tafadhali maana sio wote tunaoangalia habari mpaka za biashara na utabiri wa hali ya hewa
 
Ila kuna watu mna moyo!!! Yani kabisa flat screen yangu 43 inch nimelipia king'amuzi cha mwezi unaangalia Itv, clouds, starehe tv,chanel ten?????? Hahaaaaaaa aiseeee mm nilishashindwa eti tbc!?? Dah
We unaangalia channel gani kwenye hiyo flat screen yako?
 
Back
Top Bottom