Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Jamaa anadai yeye ni diplomat anafanya kazi karibu sana na obama halafu kamkataza rafiki yangu kamwe asijarikumtumia msg labda kubipu tuu eti msg huwa zinachunguzwa ofisini kwao kisa yupo ofisi moja na obama
Huu ujiko wa kuwaringia wenzenu kuwa, "Mchumba angu yuko Marekani" unawatokea wengi puani, kuna mmoja alijikuta anazeeka na jamaa kila siku anamdanganya kuwa atamtumia tiketi............... Mpaka leo bado anasubiri atumiwe tiketi na ameshafikisha 40!
Sasa huyo pepekalee anae fanya kazi white house alikuja kujaje huku bila kuwa na master card hadi aanze kukopa vijisent kwa huyo mdada?
Nimepata kicheko cha kulalia usiku huu, wadada mnapenda ma-title ndio maana mnadanganyika kila kukicha, mkisikia mtu yuko Marekani basi huwa mnaona si ndio hapo mmepata...ahaa ahaa eti anafanya kazi karibu na Obama na huyo rafiki yako naye akakubali kabisa ujinga huu naye akaingia kingi....kazi kweli kweli
Huu ugonjwa wa americanism ni mkubwa kuliko unavyodhani! Watu wako busy na kutafuta online frnds,sio wanawake wala wanaume! Huoni bado current hubby wa shost anapaishwa 'anaenda marekani kama kkoo'? Yaani walau akienda marekani yeye inatosha kuchapia fimbo saluni!
The POTUS' office is the Oval Office which is located in the West Wing of the White House. And for all I know no one shares that office with the POTUS!
So how in the hell does that self-proclaimed diplomat say he shares the same office with Obama? One has to be incredibly gullibe and stupid to believe such a bold-faced lie.
View attachment 41720
There is Obama in the Oval Office. Is that where Mr. Diplomat works too?
He might be the one hovering and dusting the floors. Isn't that same as sharing the ofc with mr big man? Since mchuchu works at night and obama works dayshift,lol
Loly
So many contradictory "facts" , which just dont jive.................. to mention a few;
Duh, anyhow hebu tusubiri ushauri kwa ma "great thinkers"
- Shosti katulia, mrembo, ametunzwa kimaadili yet she went and rented a room for a man she met online that she knew nothing off
- Shosti kaolewa ana mume mzuri and so forth yet she is bothered by the fact that jamaa kamfungia madirisha alivyorudi US!!?
- Shosti anatishiwa na jamaa kuchuafuliwa na kuharibiwa kazi yet she is her own boss and works for no one
- Shosti anadaiwa simu, as per jamaa simu is hacked yet simu yenyewe ni kimeo, kwanza hatumii tena
Marekani iko juu.
Siku hizi bongo hata tahajia za Kiingereza tumeanza kutumia za Kiingereza cha Marekani na si kile cha Bi. Mkubwa.
Badala ya kuandika 'centre' watu siku hizi wameanza kuandika 'center'. Au badala ya 'flavour' watu wanaandika 'flavor'. Badala ya 'colour' watu wanaandika 'color'.
Marekani oyeeeee.
Marekani iko juu.
Siku hizi bongo hata tahajia za Kiingereza tumeanza kutumia za Kiingereza cha Marekani na si kile cha Bi. Mkubwa.
Badala ya kuandika 'centre' watu siku hizi wameanza kuandika 'center'. Au badala ya 'flavour' watu wanaandika 'flavor'. Badala ya 'colour' watu wanaandika 'color'.
Marekani oyeeeee.
Uummm...I don't think so....lol
kishyndindo we ni mmarekani?
kishyndindo we ni mmarekani?
Lol! Ushatamani blouse 2 na sarawili 1 na simu ya kichina! Beware, huyu atakuambia umlipie movenpik!
Lol! Ushatamani blouse 2 na sarawili 1 na simu ya kichina! Beware, huyu atakuambia umlipie movenpik!
Mi ni Mmarekani mweusi.
wamarekani huwa wachokozi eeh?