Kapeleka mpenzi geto bahati mbaya mwanamke akafariki. Anatakiwa kufanya nini ili asifungwe?

Kapeleka mpenzi geto bahati mbaya mwanamke akafariki. Anatakiwa kufanya nini ili asifungwe?

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Kuna njemba imepata msala hapa kitaa, muda huu watu wamekusanyika baada ya njemba kutoa taarifa kwa mjumbe.

Iko hivi:- Njemba kavusha demu getoni kwake mida ya saa 1.30 jioni ya leo leo. Kamtafutia misosi kagonga kama kawaida. Saa 2 na madakika wakaingia kwenye uwanja wa 6 kwa 6.

Bahati mbaya wakiwa kwenye malavidavi ya utangulizi (romances) demu akagonga kichwa (kidogo) kwenye mguu wa kitanda (Ni vile vitanda vya mbao ambayo miguu yake imetokeza kwa juu). Dada hakuomba maji, akaenda peponi papo hapo!

Wanasheria na wajuvi wa mambo toeni mawazo, mwanetu yamemkuta akiwa katikati ya kazi.

Ni nini mwanetu afanye kuukwepa mkono wa jela?
 
Kuna njemba imepata msala hapa kitaa, muda huu watu wamekusanyika baada ya njemba kutoa taarifa kwa mjumbe.

Iko hivi:- Njemba kavusha demu getoni kwake mida ya saa 1.30 jioni ya leo leo. Kamtafutia misosi kagonga kama kawaida. Saa 2 na madakika wakaingia kwenye uwanja wa 6 kwa 6.

Bahati mbaya wakiwa kwenye malavidavi ya utangulizi (romances) demu akagonga kichwa (kidogo) kwenye mguu wa kitanda (Ni vile vitanda vya mbao ambayo miguu yake imetokeza kwa juu). Dada hakuomba maji, akaenda peponi papo hapo!

Wanasheria na wajuvi wa mambo toeni mawazo, mwanetu yamemkuta akiwa katikati ya kazi.

Ni nini mwanetu afanye kuukwepa mkono wa jela??
Duh! Hii nayo ni a thousand ways to die
 
Kuna njemba imepata msala hapa kitaa, muda huu watu wamekusanyika baada ya njemba kutoa taarifa kwa mjumbe.

Iko hivi:- Njemba kavusha demu getoni kwake mida ya saa 1.30 jioni ya leo leo. Kamtafutia misosi kagonga kama kawaida. Saa 2 na madakika wakaingia kwenye uwanja wa 6 kwa 6.

Bahati mbaya wakiwa kwenye malavidavi ya utangulizi (romances) demu akagonga kichwa (kidogo) kwenye mguu wa kitanda (Ni vile vitanda vya mbao ambayo miguu yake imetokeza kwa juu). Dada hakuomba maji, akaenda peponi papo hapo!

Wanasheria na wajuvi wa mambo toeni mawazo, mwanetu yamemkuta akiwa katikati ya kazi.

Ni nini mwanetu afanye kuukwepa mkono wa jela?
Rejea wimbo wa husein machozi-kafia gheto ningejua nisingemkaribisha
 
Kuna njemba imepata msala hapa kitaa, muda huu watu wamekusanyika baada ya njemba kutoa taarifa kwa mjumbe.

Iko hivi:- Njemba kavusha demu getoni kwake mida ya saa 1.30 jioni ya leo leo. Kamtafutia misosi kagonga kama kawaida. Saa 2 na madakika wakaingia kwenye uwanja wa 6 kwa 6.

Bahati mbaya wakiwa kwenye malavidavi ya utangulizi (romances) demu akagonga kichwa (kidogo) kwenye mguu wa kitanda (Ni vile vitanda vya mbao ambayo miguu yake imetokeza kwa juu). Dada hakuomba maji, akaenda peponi papo hapo!

Wanasheria na wajuvi wa mambo toeni mawazo, mwanetu yamemkuta akiwa katikati ya kazi.

Ni nini mwanetu afanye kuukwepa mkono wa jela?
Kuua bila kukusudia.. kama issue ya lulu. Wataalamu wa sheria watakuja kukueleza
 
Kuna njemba imepata msala hapa kitaa, muda huu watu wamekusanyika baada ya njemba kutoa taarifa kwa mjumbe.

Iko hivi:- Njemba kavusha demu getoni kwake mida ya saa 1.30 jioni ya leo leo. Kamtafutia misosi kagonga kama kawaida. Saa 2 na madakika wakaingia kwenye uwanja wa 6 kwa 6.

Bahati mbaya wakiwa kwenye malavidavi ya utangulizi (romances) demu akagonga kichwa (kidogo) kwenye mguu wa kitanda (Ni vile vitanda vya mbao ambayo miguu yake imetokeza kwa juu). Dada hakuomba maji, akaenda peponi papo hapo!

Wanasheria na wajuvi wa mambo toeni mawazo, mwanetu yamemkuta akiwa katikati ya kazi.

Ni nini mwanetu afanye kuukwepa mkono wa jela?
Mambo ya kukamia hapo mguu mmoja kwenye dirisha mmoja kwenye sakafu unapiga tako huku ukaza kalio unangata na meno
 
Kamq ndo msela wako ana huo msala alafu amekuja kkuomba ushauri wewe na wew ukaamua kutuomba ushauri sisi bas ngoja tu tukushauri kwamba Mwambie mshkaji wako hiv punde anakutana na Wakina Nyundo.
 
Back
Top Bottom