Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
we acha tu naona jini mahaba limeninyanyua ghafla likanitupa kwa Fixed Point
siku hizi nimepunguza....uzee
siri imefichuka,
Siri imefichuka.....sos mlimani park ochestra... Lady doctor unalo!
Chimbuvu jukumu lako ni kulinda mali yako kwa gharama zote hata kama ni kumwaga damu na imwagike na mimi niko lazi ninyofolewe kucha katika kuhakikisha huzulumiwi mtoto maana ni damu yako....aluta!
Cc: Lady doctor
Jf udaku baada ya uchunguzi wa kina imegundua kuwa hizi kapo:
sosoliso na Paloma.....kapo feki hii
Arushaone na Lady doctor.....hakuna cha ndoa wala nini,hata kwa sura hawajuani
marejesho na Filipo....hawa wanafanya kweli na mtoto wamezaa
Judgement na YNNAH.....hamna kitu hapa,wanaishia ku pm tu
mimisa na manoah.....kapo ya ukweli ingawa wana tofauti ndogo ndogo.. TheDealer utaishia kunawa tu
Madame B na kiplagati26.....chezeiya mjeda anajilia taratibu.. Ben Saanane, Chimbuvu, tedo na wana saccos wenzenu kina CHAI CHUNGU mlie tu
watu8 na measkron.....wametalikiana majuzi
Chocs na Erickb52......si chochote si lolote kazi kutumiana maPM yasoisha na miadi hewa
Asprin na cacico, Yummy na BADILI TABIA.....ni saccos ya ukweli
The secretary na bishanga.....true true couple...tuna na mtoto
.......risechi inaendelea,nitawa update
Erickb52 my broda from another mother..niambie siri ya mtungi..eeh siri ya cc
kweli nimeamini mimi ni kilaza.....
inakuwaje kila anayenijibu ananipa jibu hilo hilo? ina maana mimi peke yangu ndo mgeni hapa Yerusalemu?
mdogo wangu snowhite nawe unayajua haya? kama unayajua basi karibia nakutoa kwenye list ya wadogo zangu.... huwezi kuniacha naendelea na ukilaza hivi hivi tu
ha haaa, ukilaza mzigo mdogo wangu.....we wa wapi saaaaasa!
ah mi nimechoka kukutafatia majibu hata kwenye ze obvious!ona sasa mpka naongea kizungu!
hivi neno "BRODA" maana yake nini ati bestito?
mimi kwanza naomna niulize.... na hili ni innocent question........
kwani kuna kapo za ukweli huku cc? mi najua zote zinaishia hapa hapa cc.....
sasa hata kama hawajuani sura zao inahuu? la maana wanakutana hapa cc na ndoa inaendelea......
Majanga
brother! hujambo ladyfurahia jana kidogo upate u-mc kwenye kashughuli kangu kamoyo kalimdondokea mutu moja hapa jf!