kapo feki na za ukweli cc hizi hapa

Kinehe ngosha,ndoho taabu

Chimbuvu jukumu lako ni kulinda mali yako kwa gharama zote hata kama ni kumwaga damu na imwagike na mimi niko lazi ninyofolewe kucha katika kuhakikisha huzulumiwi mtoto maana ni damu yako....aluta!
Cc: Lady doctor
 
Last edited by a moderator:
yani ningekufigilisi wewe mpaka ungejua kuwa wanawake tuko strong bora yako hujanimention hapo
 

we wa wapi saaaaasa!
ah mi nimechoka kukutafatia majibu hata kwenye ze obvious!ona sasa mpka naongea kizungu!
 
Nshakwambia bishanga anakopaga citibank husikii,finca na pride sosoliso

Mikopo ya finca na pride ilinishinda mie.. Ati niwakusanye wenziwangu kama ishirini hivi halafu ndo tutakope.. Siku ya marejesho inabidi wote muwepo au rejesho la kila mtu liwepo.. Sasa Bishanga mie kweli nitayaweza hayo..?
 
Last edited by a moderator:
mimi kwanza naomna niulize.... na hili ni innocent question........
kwani kuna kapo za ukweli huku cc? mi najua zote zinaishia hapa hapa cc.....
sasa hata kama hawajuani sura zao inahuu? la maana wanakutana hapa cc na ndoa inaendelea......

Unaweza kuta zinavuka mpaka boda chezea CC FP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…