kapo feki na za ukweli cc hizi hapa

kapo feki na za ukweli cc hizi hapa

Kinehe ngosha,ndoho taabu

Chimbuvu jukumu lako ni kulinda mali yako kwa gharama zote hata kama ni kumwaga damu na imwagike na mimi niko lazi ninyofolewe kucha katika kuhakikisha huzulumiwi mtoto maana ni damu yako....aluta!
Cc: Lady doctor
 
Last edited by a moderator:
yani ningekufigilisi wewe mpaka ungejua kuwa wanawake tuko strong bora yako hujanimention hapo
Jf udaku baada ya uchunguzi wa kina imegundua kuwa hizi kapo:
sosoliso na Paloma.....kapo feki hii
Arushaone na Lady doctor.....hakuna cha ndoa wala nini,hata kwa sura hawajuani
marejesho na Filipo....hawa wanafanya kweli na mtoto wamezaa
Judgement na YNNAH.....hamna kitu hapa,wanaishia ku pm tu
mimisa na manoah.....kapo ya ukweli ingawa wana tofauti ndogo ndogo.. TheDealer utaishia kunawa tu
Madame B na kiplagati26.....chezeiya mjeda anajilia taratibu.. Ben Saanane, Chimbuvu, tedo na wana saccos wenzenu kina CHAI CHUNGU mlie tu
watu8 na measkron.....wametalikiana majuzi
Chocs na Erickb52......si chochote si lolote kazi kutumiana maPM yasoisha na miadi hewa
Asprin na cacico, Yummy na BADILI TABIA.....ni saccos ya ukweli
The secretary na bishanga.....true true couple...tuna na mtoto
.......risechi inaendelea,nitawa update
 
kweli nimeamini mimi ni kilaza.....
inakuwaje kila anayenijibu ananipa jibu hilo hilo? ina maana mimi peke yangu ndo mgeni hapa Yerusalemu?
mdogo wangu snowhite nawe unayajua haya? kama unayajua basi karibia nakutoa kwenye list ya wadogo zangu.... huwezi kuniacha naendelea na ukilaza hivi hivi tu

we wa wapi saaaaasa!
ah mi nimechoka kukutafatia majibu hata kwenye ze obvious!ona sasa mpka naongea kizungu!
 
Nshakwambia bishanga anakopaga citibank husikii,finca na pride sosoliso

Mikopo ya finca na pride ilinishinda mie.. Ati niwakusanye wenziwangu kama ishirini hivi halafu ndo tutakope.. Siku ya marejesho inabidi wote muwepo au rejesho la kila mtu liwepo.. Sasa Bishanga mie kweli nitayaweza hayo..?
 
Last edited by a moderator:
mimi kwanza naomna niulize.... na hili ni innocent question........
kwani kuna kapo za ukweli huku cc? mi najua zote zinaishia hapa hapa cc.....
sasa hata kama hawajuani sura zao inahuu? la maana wanakutana hapa cc na ndoa inaendelea......

Unaweza kuta zinavuka mpaka boda chezea CC FP
 
Back
Top Bottom