Mchezaji wa mechi moja dhidi ya Uganda vs Mchezaji wa Wiki wa Ligi ya Mabingwa kwa mechi zote za raundi ya TanoMlinzi wa Timu ya Taifa Stars, Dickson Job amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo kati ya Tanzania dhidi ya wenyeji Uganda The Cranes uliopigwa katika dimba la Suez Canal, Ismailia Misri.
Hawanaga akili hao wakati mwingine ni kuachana naoMchezaji wa mechi moja dhidi ya Uganda vs Mchezaji wa Wiki wa Ligi ya Mabingwa kwa mechi zote za raundi ya Tano
Team mbovu wakati huyo mumeo Viper aliyekutoboa hapa kwa Mkapa, kapigwa nje ndani.... shubamitMkuu Sasa timu mbovu mlizokutana Nazo....bado mtajisifia
mmoja na wachezaji wa Uganda (akina Aucho), mwingine na wachezaji wote wa timu zote zilizocheza raundi ya tano ya CAF Champions LeagueTunaangalia hyo Ligue ....amekutana na timu gani