Kapombe ana mengi ya kujifunza Kwa Dickson Job

Kapombe ana mengi ya kujifunza Kwa Dickson Job

[emoji408] IBRAHIM HAMAD (BACCA) vs. UGANDA [emoji1254]

[emoji820] Touches 63
[emoji820] Accurate Passes 37/44 (84.1%)
[emoji820] Duels won - 6/6
[emoji820] Clearances 8
[emoji820] Headed Clearances 4
[emoji820] Was Fouled (5)
[emoji820] Long Balls Acc 7(3)
[emoji820] 2 interceptions
[emoji820] 5 ball recoveries

TOA RESPECT KWA BACCA 🫡 THE FUTURE IS HERE
View attachment 2564618
Bacca ni mzuri mana anajitahidi kuruka. Lilikuwa ni suala la muda tu. Ila bado ana papala ya ku-clear kwa kubutua tu. Ajifunze ku-clear kwa kuanzisha kaunta ataki.
 
Mlinzi wa Timu ya Taifa Stars, Dickson Job amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo kati ya Tanzania dhidi ya wenyeji Uganda The Cranes uliopigwa katika dimba la Suez Canal, Ismailia Misri.

Stars iliibuka na ushindi wa 1-0 huku Simon Msuva alifunga bao pekee akiunganisha krosi iliyomiminwa nyota wa mchezo Job kutoka upande wa kulia wa uwanja mnamo dakika ya 68 ya mchezo.

Kwa ushindi huo Stars imekwea mpaka nafasi ya pili ikiwa na alama 4 baada ya mechi tatu nyuma ya kinara Algeria mwenye alama 9 baada ya mechi tatu.

Niger inashika nafasi ya tatu ikiwa na alama mbili huku majirani Uganda wakiburuza mkia alama 1 baada ya mechi tatu.

Fact kuhusu huyu mwamba

-Licha ya kuchezeshwa nje ya position yake lakn bdo kaonesha kiwango kizur ndan ya mchezo bgap sanaaaa

-Huyu dick Kwa alivyokuwa anajua kupiga pasi hata akicheza Tisa kumi uhakika anajua dogo huyu mpiraView attachment 2564610
Tanzania Bado bando bei yake ni rahisi sana pengine mamlaka iongeze asilimia 300 hii itasababisha WIFI zinazotumika hovyohovyo na mleta mada kuwekewa masaa na kikomo,maana ungenunua bandle usingeandika uozo kama huu.
 
Hiyo timu siku ikipigwa nyingi mtakimbiana humu.Uganda Crane ya akina Okwi mnamaliza maneno yote.Thread zimekuwa nyingi za kuwaponda wachezaji walioachwa mara sijui Fei toto bonge.Hii Nchi Ina watu wa hovyo Sana.
 
Bacca ni mzuri mana anajitahidi kuruka. Lilikuwa ni suala la muda tu. Ila bado ana papala ya ku-clear kwa kubutua tu. Ajifunze ku-clear kwa kuanzisha kaunta ataki.
Dg anajua .....Yanga sijua walimuona vp
 
Tanzania Bado bando bei yake ni rahisi sana pengine mamlaka iongeze asilimia 300 hii itasababisha WIFI zinazotumika hovyohovyo na mleta mada kuwekewa masaa na kikomo,maana ungenunua bandle usingeandika uozo kama huu.
Tanzania ni nchi ya ki loyal sana mkuu ..... endelea kuinjoy + kupiga kaz
 
Hiyo timu siku ikipigwa nyingi mtakimbiana humu.Uganda Crane ya akina Okwi mnamaliza maneno yote.Thread zimekuwa nyingi za kuwaponda wachezaji walioachwa mara sijui Fei toto bonge.Hii Nchi Ina watu wa hovyo Sana.
[emoji23][emoji23]
 
Mlinzi wa Timu ya Taifa Stars, Dickson Job amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo kati ya Tanzania dhidi ya wenyeji Uganda The Cranes uliopigwa katika dimba la Suez Canal, Ismailia Misri.

Stars iliibuka na ushindi wa 1-0 huku Simon Msuva alifunga bao pekee akiunganisha krosi iliyomiminwa nyota wa mchezo Job kutoka upande wa kulia wa uwanja mnamo dakika ya 68 ya mchezo.

Kwa ushindi huo Stars imekwea mpaka nafasi ya pili ikiwa na alama 4 baada ya mechi tatu nyuma ya kinara Algeria mwenye alama 9 baada ya mechi tatu.

Niger inashika nafasi ya tatu ikiwa na alama mbili huku majirani Uganda wakiburuza mkia alama 1 baada ya mechi tatu.

Fact kuhusu huyu mwamba

-Licha ya kuchezeshwa nje ya position yake lakn bdo kaonesha kiwango kizur ndan ya mchezo bgap sanaaaa

-Huyu dick Kwa alivyokuwa anajua kupiga pasi hata akicheza Tisa kumi uhakika anajua dogo huyu mpiraView attachment 2564610
sio mara ya kwanza dick kucheza namba 2 nabi kamchezesha sana namba hiyo
 
Duniani maajabu hayaishi, ukiangalia viwango vya wachezaji wa makolo halafu wamefika robo fainali huwezi acha kushangaa
 
kapombe hafai ndio maana waliamua ku risk Kwa job,yaani ni Bora asipo kabisa
Uto na Upumbavu ni hivi
20220806_211748.jpg
 
Back
Top Bottom