demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Mechi ya kwanza tuliicheza kibabe sana... hadi tukapata matokeo mazuri...
Sijui ni nani akaona wivu na mwenendo mzuri wa Stars hadi akashauri tuwarudishe kikosini wachezaji wenye mikosi na Nuksi.
Kuna wachezaji tukubali muda wao umewatupa mkono. Hao wachezaji wengi wao wako na mikosi ya timu ya stars ya nyakati za nyuma.
Ni nani anamshauri vibaya kocha? Kocha alianza vizuri tu kwenye selection zake ingawa kulikuwa na makosa mawili matatu.
Tutaiona AFCON tutakapo achana na ujinga huu.
Sijui ni nani akaona wivu na mwenendo mzuri wa Stars hadi akashauri tuwarudishe kikosini wachezaji wenye mikosi na Nuksi.
Kuna wachezaji tukubali muda wao umewatupa mkono. Hao wachezaji wengi wao wako na mikosi ya timu ya stars ya nyakati za nyuma.
Ni nani anamshauri vibaya kocha? Kocha alianza vizuri tu kwenye selection zake ingawa kulikuwa na makosa mawili matatu.
Tutaiona AFCON tutakapo achana na ujinga huu.