Naona mshaanza kutafuta mchawiMechi ya kwanza tuliicheza kibabe sana... hadi tukapata matokeo mazuri...
goli limepitia kwa kapombeMechi ya kwanza tuliicheza kibabe sana... hadi tukapata matokeo mazuri...
Sijui ni nani akaona wivu na mwenendo mzuri wa Stars hadi akashauri tuwarudishe kikosini wachezaji wenye mikosi na Nuks...
Ujinga wetu ni kuleta Usimba na Uyanga sehemu pasipostahili,huu ni uzwazwa kabisa😑Watanzania tunaujinga sana
Bila kusahau kipa DiaraWachezaji wa simba dickson job na feisal ndo wametufungisha simba wahovyo sana.
Sijuo kwanini kocha hajamuita mayele na bangala atulize pale kati.Bila kusahau kipa Diara