Kapombe, Zimbwe JR waitwa Stars haraka kuiwahi Uganda

Kapombe, Zimbwe JR waitwa Stars haraka kuiwahi Uganda

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Licha ya ushindi bado mapengo yao yalionekana Sasa aibu imewatoka wamewarudisha kundini fullbacks bora afrika nzima.

saw.jpeg

======

Taarifa hiyo imetolewa na Rais wa TFF, Wallace Karia wakati akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam alitoa taarifa iliyokuwa ikinahusu kuogezwa kwa wachezaji hao wa wili wanaochezea klabu ya Simba.,

"Maneno yalikuwa mengi sana baada ya uteuzi uliofanyika mwanzoni lakini tumeona matunda yake, kuongezwa kwa Kapombe na 'Tshabalala' ni pendekezo la Kocha Mkuu, Adel Amroache na tayari wamejiunga kambini na wenzao," amesema Karia.

Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) , Wallace Karia amesema kuitwa kwa nyota hao ni pendekezo la Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Adel Amrouche na sio matakwa ya TFF.

Aidha Karia amesema wao kama TFF hawajakaa wala kumshauri Amrouche kuhusu uteuzi wa kikosi isipokuwa walimpa uhuru wakiamini ni kocha mzuri na anayetambua vyema wachezaji kwani alishaanza kuwafuatilia kwa muda mrefu hapo nyuma.

"Sisi hatuwezi kuingilia majukumu yake kwa sababu tunaamini katika weledi aliokuwa nao, jukumu kubwa kwetu ni kuendelea kumpa ushirikiano ili kwa pamoja tufikie malengo yetu kama taifa," amesema Karia Rais wa TFF.

Stars itashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jumanne hii ya Machi 28 ikiwa na morali kubwa baada ya mchezo uliopita kushinda bao 1-0 lililofungwa na, Simon Msuva katika mechi iliyopigwa nchini Misri katika jiji la Ismailia.

Katika kundi F Stars iko nafasi ya pili ikiwa na pointi nne nyuma ya vinara Algeria yenye pointi tisa baada ya kushinda michezo yote mitatu.

Niger ni ya tatu na pointi mbili huku Uganda ikiburuza mkiani baada ya kukusanya pointi moja.
 
Hii ndio taarifa mpya iliyotolewa na Rais wa TFF , ndugu Wallace Karia .

Bali ambacho hakijajulikana ni hiki , Waliokuwa wabovu juzi imekuaje wakawa wazuri leo ? halafu taarifa hii kulikoni itangazwe na Rais wa TFF badala ya Makocha wa Timu yenyewe ?
 
Mabeki wa Simba, Shomari Kapombe Na Mohamed Hussein 'Tshabalala' hatimae wameongezwa kwenye kikosi cha timu ya taifa 'Taifa Stars' kinachojiandaa na mchezo wa marudiano wa kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Uganda mchezo unao tarajiwa kupigwa siku ya jumanne machi 28 jijini Dar es salaam.,





Taarifa hiyo imetolewa na Rais wa TFF, Wallace Karia wakati akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam alitoa taarifa iliyokuwa ikinahusu kuogezwa kwa wachezaji hao wa wili wanaochezea klabu ya Simba.,

"Maneno yalikuwa mengi sana baada ya uteuzi uliofanyika mwanzoni lakini tumeona matunda yake, kuongezwa kwa Kapombe na 'Tshabalala' ni pendekezo la Kocha Mkuu, Adel Amroache na tayari wamejiunga kambini na wenzao," amesema Karia.

Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) , Wallace Karia amesema kuitwa kwa nyota hao ni pendekezo la Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Adel Amrouche na sio matakwa ya TFF.

Aidha Karia amesema wao kama TFF hawajakaa wala kumshauri Amrouche kuhusu uteuzi wa kikosi isipokuwa walimpa uhuru wakiamini ni kocha mzuri na anayetambua vyema wachezaji kwani alishaanza kuwafuatilia kwa muda mrefu hapo nyuma.

"Sisi hatuwezi kuingilia majukumu yake kwa sababu tunaamini katika weledi aliokuwa nao, jukumu kubwa kwetu ni kuendelea kumpa ushirikiano ili kwa pamoja tufikie malengo yetu kama taifa," amesema Karia Rais wa TFF.

Stars itashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jumanne hii ya Machi 28 ikiwa na morali kubwa baada ya mchezo uliopita kushinda bao 1-0 lililofungwa na, Simon Msuva katika mechi iliyopigwa nchini Misri katika jiji la Ismailia.

Katika kundi F Stars iko nafasi ya pili ikiwa na pointi nne nyuma ya vinara Algeria yenye pointi tisa baada ya kushinda michezo yote mitatu.

Niger ni ya tatu na pointi mbili huku Uganda ikiburuza mkiani baada ya kukusanya pointi moja.

CHANZO

'Shomari Kapombe Na Mohamed Hussein' Waongezwa Taifa Stars

 
nasema tena tunaenda kufungwa na Uganda jumanne hizi shamra shamra inanikumbusha mechi ya Tanzania dhidi ya Msumbiji mwaka 2007 wakati huo uwanja wa Taifa bado mpya zilitungwa hadi nyimbo dk ya 7 tukala kimoja shoka moja mbuyu chini
 
Sijui hizo milioni 500 watagawanaje kama wakifuzu maana kikosi kinabadilika kila siku. Kuna wachezaji walikuwa kwenye game mbili za mwanzo leo hawapo tena kikosini.
 
Licha ya ushindi bado mapengo yao yalionekana Sasa aibu imewatoka wamewarudisha kundini fullbacks bora afrika nzima.

saw.jpeg

======

Taarifa hiyo imetolewa na Rais wa TFF, Wallace Karia wakati akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam alitoa taarifa iliyokuwa ikinahusu kuogezwa kwa wachezaji hao wa wili wanaochezea klabu ya Simba.,

"Maneno yalikuwa mengi sana baada ya uteuzi uliofanyika mwanzoni lakini tumeona matunda yake, kuongezwa kwa Kapombe na 'Tshabalala' ni pendekezo la Kocha Mkuu, Adel Amroache na tayari wamejiunga kambini na wenzao," amesema Karia.

Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) , Wallace Karia amesema kuitwa kwa nyota hao ni pendekezo la Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Adel Amrouche na sio matakwa ya TFF.

Aidha Karia amesema wao kama TFF hawajakaa wala kumshauri Amrouche kuhusu uteuzi wa kikosi isipokuwa walimpa uhuru wakiamini ni kocha mzuri na anayetambua vyema wachezaji kwani alishaanza kuwafuatilia kwa muda mrefu hapo nyuma.

"Sisi hatuwezi kuingilia majukumu yake kwa sababu tunaamini katika weledi aliokuwa nao, jukumu kubwa kwetu ni kuendelea kumpa ushirikiano ili kwa pamoja tufikie malengo yetu kama taifa," amesema Karia Rais wa TFF.

Stars itashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jumanne hii ya Machi 28 ikiwa na morali kubwa baada ya mchezo uliopita kushinda bao 1-0 lililofungwa na, Simon Msuva katika mechi iliyopigwa nchini Misri katika jiji la Ismailia.

Katika kundi F Stars iko nafasi ya pili ikiwa na pointi nne nyuma ya vinara Algeria yenye pointi tisa baada ya kushinda michezo yote mitatu.

Niger ni ya tatu na pointi mbili huku Uganda ikiburuza mkiani baada ya kukusanya pointi moja.
hawa madunduka yakipangwa na kucheza keshokutwa tunafungwa 3-0
 
nasema tena tunaenda kufungwa na Uganda jumanne hizi shamra shamra inanikumbusha mechi ya Tanzania dhidi ya Msumbiji mwaka 2007 wakati huo uwanja wa Taifa bado mpya zilitungwa hadi nyimbo dk ya 7 tukala kimoja shoka moja mbuyu chini
Diving header ya Emmanuel Bakwame a.k.a Tikotiko ilitosha kutulaza mapema.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom