Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii game nilisikiliza yote na kuumia sanaaaaDiving header ya Emmanuel Bakwame a.k.a Tikotiko ilitosha kutulaza mapema.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
mwache mla urojo wa watu atulie!!Ni jambo zuri. Wakati mwingine tutapiga kelele kuitwa kwenye timu ya Taifa, wachezaji wanaoishi mafichoni! Badala ya kwenye klabu zao zilizo wasajili.
kwahiyo kocha kashinikizwa?Licha ya ushindi bado mapengo yao yalionekana Sasa aibu imewatoka wamewarudisha kundini fullbacks bora afrika nzima.
![]()
======
Taarifa hiyo imetolewa na Rais wa TFF, Wallace Karia wakati akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam alitoa taarifa iliyokuwa ikinahusu kuogezwa kwa wachezaji hao wa wili wanaochezea klabu ya Simba.,
"Maneno yalikuwa mengi sana baada ya uteuzi uliofanyika mwanzoni lakini tumeona matunda yake, kuongezwa kwa Kapombe na 'Tshabalala' ni pendekezo la Kocha Mkuu, Adel Amroache na tayari wamejiunga kambini na wenzao," amesema Karia.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) , Wallace Karia amesema kuitwa kwa nyota hao ni pendekezo la Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Adel Amrouche na sio matakwa ya TFF.
Aidha Karia amesema wao kama TFF hawajakaa wala kumshauri Amrouche kuhusu uteuzi wa kikosi isipokuwa walimpa uhuru wakiamini ni kocha mzuri na anayetambua vyema wachezaji kwani alishaanza kuwafuatilia kwa muda mrefu hapo nyuma.
"Sisi hatuwezi kuingilia majukumu yake kwa sababu tunaamini katika weledi aliokuwa nao, jukumu kubwa kwetu ni kuendelea kumpa ushirikiano ili kwa pamoja tufikie malengo yetu kama taifa," amesema Karia Rais wa TFF.
Stars itashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jumanne hii ya Machi 28 ikiwa na morali kubwa baada ya mchezo uliopita kushinda bao 1-0 lililofungwa na, Simon Msuva katika mechi iliyopigwa nchini Misri katika jiji la Ismailia.
Katika kundi F Stars iko nafasi ya pili ikiwa na pointi nne nyuma ya vinara Algeria yenye pointi tisa baada ya kushinda michezo yote mitatu.
Niger ni ya tatu na pointi mbili huku Uganda ikiburuza mkiani baada ya kukusanya pointi moja.
Tiko tiko mtu mbadi akaingia kambani, nilikuwa taifa siku ilenasema tena tunaenda kufungwa na Uganda jumanne hizi shamra shamra inanikumbusha mechi ya Tanzania dhidi ya Msumbiji mwaka 2007 wakati huo uwanja wa Taifa bado mpya zilitungwa hadi nyimbo dk ya 7 tukala kimoja shoka moja mbuyu chini
Ugali sukari hakupaswa kuitwaNi jambo zuri. Wakati mwingine tutapiga kelele kuitwa kwenye timu ya Taifa, wachezaji wanaoishi mafichoni! Badala ya kwenye klabu zao zilizo wasajili.
Jibu ni hakuna. Bora hata wangemuita Sure Boy.Naomba kuuliza, kiungo mchezeshaji anayejiamini stars kwa sasa ni nani?
Na mimi ndio nawaza hivyo. Huko mbele anakuwepo Samata na Msuva ila mipira kufika ni kazi kweli kweli mpaka Samata anarudia mipira nyuma.Jibu ni hakuna. Bora hata wangemuita Sure Boy.
Tumerudi
AaaaaahLicha ya ushindi bado mapengo yao yalionekana Sasa aibu imewatoka wamewarudisha kundini fullbacks bora afrika nzima.
![]()
======
Taarifa hiyo imetolewa na Rais wa TFF, Wallace Karia wakati akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam alitoa taarifa iliyokuwa ikinahusu kuogezwa kwa wachezaji hao wa wili wanaochezea klabu ya Simba.,
"Maneno yalikuwa mengi sana baada ya uteuzi uliofanyika mwanzoni lakini tumeona matunda yake, kuongezwa kwa Kapombe na 'Tshabalala' ni pendekezo la Kocha Mkuu, Adel Amroache na tayari wamejiunga kambini na wenzao," amesema Karia.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) , Wallace Karia amesema kuitwa kwa nyota hao ni pendekezo la Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Adel Amrouche na sio matakwa ya TFF.
Aidha Karia amesema wao kama TFF hawajakaa wala kumshauri Amrouche kuhusu uteuzi wa kikosi isipokuwa walimpa uhuru wakiamini ni kocha mzuri na anayetambua vyema wachezaji kwani alishaanza kuwafuatilia kwa muda mrefu hapo nyuma.
"Sisi hatuwezi kuingilia majukumu yake kwa sababu tunaamini katika weledi aliokuwa nao, jukumu kubwa kwetu ni kuendelea kumpa ushirikiano ili kwa pamoja tufikie malengo yetu kama taifa," amesema Karia Rais wa TFF.
Stars itashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jumanne hii ya Machi 28 ikiwa na morali kubwa baada ya mchezo uliopita kushinda bao 1-0 lililofungwa na, Simon Msuva katika mechi iliyopigwa nchini Misri katika jiji la Ismailia.
Katika kundi F Stars iko nafasi ya pili ikiwa na pointi nne nyuma ya vinara Algeria yenye pointi tisa baada ya kushinda michezo yote mitatu.
Niger ni ya tatu na pointi mbili huku Uganda ikiburuza mkiani baada ya kukusanya pointi moja.
Mkuu una darubini kali ya afande seleRais wa TFF anatangaza kikosi next match tunafungwa suburini muone
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Eeh wamecheza jana vipi unatamani waitwe tena next game???Hizo ndiyo nguzo ya Simba, wameipeleka Simba Sc robo kwa mabega yao. Halafu timu za taifa hawapo. Hiyo ni akili au matope. Tazama alichofanya Mzamiru juzi
Said it all.Rais wa TFF anatangaza kikosi next match tunafungwa suburini muone
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sema sasa.Hizo ndiyo nguzo ya Simba, wameipeleka Simba Sc robo kwa mabega yao. Halafu timu za taifa hawapo. Hiyo ni akili au matope. Tazama alichofanya Mzamiru juzi
Kusema niniSema sasa.