Kapombe, Zimbwe JR waitwa Stars haraka kuiwahi Uganda

Ni jambo zuri. Wakati mwingine tutapiga kelele kuitwa kwenye timu ya Taifa, wachezaji wanaoishi mafichoni! Badala ya kwenye klabu zao zilizo wasajili.
 
Wakianza ktk me hi ya keshokutwa alafu tukafungwa SI wanawatafutia maneno tu, nashauri kikosi kilikile kianze then wao wataingia sub kipindi Cha pili
 
kwahiyo kocha kashinikizwa?
 
nasema tena tunaenda kufungwa na Uganda jumanne hizi shamra shamra inanikumbusha mechi ya Tanzania dhidi ya Msumbiji mwaka 2007 wakati huo uwanja wa Taifa bado mpya zilitungwa hadi nyimbo dk ya 7 tukala kimoja shoka moja mbuyu chini
Tiko tiko mtu mbadi akaingia kambani, nilikuwa taifa siku ile
 
Jibu ni hakuna. Bora hata wangemuita Sure Boy.
Na mimi ndio nawaza hivyo. Huko mbele anakuwepo Samata na Msuva ila mipira kufika ni kazi kweli kweli mpaka Samata anarudia mipira nyuma.

Pale katikati kuna wanaume wanapiga kazi kweli kweli lakini ni ya kukaba zaidi, kina Mzamiru, Hidim Mao. Mudathiri kidogo anajaribu kupeleka mashambulizi lakini hawezi kumfikia Sure Boy mana Sure boy, akitoa pasi anaifuata, huwezi kumuona anajificha asipewe pasi!
 
Nchi ngumu Sana hii niamini Mimi..!

Kuna mjuba Kaweka Uzi Kbs, Eti Kapombe ana mengi Ya Kujfunza Kwa Job..!

Hata huku Vibaruani Na Makazini Wale Wapya huwa Wanachukua nondo na Kujifunza Kazi Kwa Waliowatangulia.!
 
Aaaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…