Well, mpasuko ndani ya CCM haujanza leo kwa akina Komba na Kilango. Mpasuko uko tangu enzi za Mwalimu na akina Sokoine. Imekuja mpaka zama za akina Lowassa, Kolimba na wengineo wengi. Tofauti na zamani, sasa tumefikia kwenye climax. Watu wameshindwa kuvumiliana anymore. The likes of Mwakyembe, Selelii, Kimaro na wengineo wameamua kujitoa hadharani kuwapinga wenzao. Huyo Kilango anayesifiwa kwa ujasiri, I reserve my comments. Waache wauwane wenyewe kwa wenyewe. Vita ya panzi, sisi kunguru tutafaidi. Tatizo ni nani wa kutuongoza baada ya panzi wote kufariki.[/QUOTE]
Mzee hii haikuwa nzuri, au ulipitiwa tu, ni kweli una maanisha hawa viongozi wote wanao tuongoza wakifa nchi yetu pia ita kufa??!!