Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Gazeti la Taifa letu la jana tarehe 22/05/2009 lilikuwa na kipande kifuatacho cha habari..
....Pia katika hali isiyokuwa ya kawaida, Mjumbe Halmashauri Kuu, John Komba aliwaambia waandishi kwamba Mjumbe mwenzake Anne Kilango Malechela si lolote kwenye kampeni za Busanda.
Komba alisema waandishi wa habari wanafanya makosa kumfanya aonekane kwamba Kilango amekuja kuikoa CCM.
''Kama kuzomewa kwenye mkutano wa Katoro hata yeye Kilango alizomewa, lakini mkaficha nasisitiza Kilango alizomewa kama wenzake'', alisema.
Jamani hii imekaaje? ni wivu, au yeye Komba kujiona yuka juu sana, kuongozwa na utashi wa kifisadi, au kitu gani??
....Pia katika hali isiyokuwa ya kawaida, Mjumbe Halmashauri Kuu, John Komba aliwaambia waandishi kwamba Mjumbe mwenzake Anne Kilango Malechela si lolote kwenye kampeni za Busanda.
Komba alisema waandishi wa habari wanafanya makosa kumfanya aonekane kwamba Kilango amekuja kuikoa CCM.
''Kama kuzomewa kwenye mkutano wa Katoro hata yeye Kilango alizomewa, lakini mkaficha nasisitiza Kilango alizomewa kama wenzake'', alisema.
Jamani hii imekaaje? ni wivu, au yeye Komba kujiona yuka juu sana, kuongozwa na utashi wa kifisadi, au kitu gani??