Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Binadamu wote ni ndugu, kwa sababu safari yetu ni moja.
Kumekuwa na changamoto nyingi za kiafya katika jamii zetu.
Kumekuwepo na watu kuugua muda mrefu, na kupelekea kuporomoka kwa uchumi kwa familia husika, na hatimaye kushindwa kumudu gharama za matibabu.
Ambayo hupelekea kwa mgonjwa kuugua vitu viwili; kupambania uhai wake, na wapi atapata fedha/msaada wa kugharamia uhai wake.
Mi nashauri, kuwepo na kapu la kusaidia jamii pale wanapokutana na hizi changamoto.
Sababu; wote ni safari ni moja, hakuna atakayeishi miaka yote.
Mfano:-watu 5,000,000 wakatoa 1000 tu; itakuwa sawa na shilingi. 5,000, 000,000/=
Kwa nini tushindwe, yaani mtu afe kwa kukosa laki mbili kweli!
Karibuni kwa mjadala.
Kumekuwa na changamoto nyingi za kiafya katika jamii zetu.
Kumekuwepo na watu kuugua muda mrefu, na kupelekea kuporomoka kwa uchumi kwa familia husika, na hatimaye kushindwa kumudu gharama za matibabu.
Ambayo hupelekea kwa mgonjwa kuugua vitu viwili; kupambania uhai wake, na wapi atapata fedha/msaada wa kugharamia uhai wake.
Mi nashauri, kuwepo na kapu la kusaidia jamii pale wanapokutana na hizi changamoto.
Sababu; wote ni safari ni moja, hakuna atakayeishi miaka yote.
Mfano:-watu 5,000,000 wakatoa 1000 tu; itakuwa sawa na shilingi. 5,000, 000,000/=
Kwa nini tushindwe, yaani mtu afe kwa kukosa laki mbili kweli!
Karibuni kwa mjadala.