Kapuya ni nani kwenye hii nchi hadi awe juu ya Sheria?

Shoga mbona unapigia jibu mstari? Kapuya ni mwanamtandao ndiye aliyemuweka mkulu madarakani, wewe unataka akamatwe tena? Unafikiri nchi hii haina wenyewe? Au hukumbuki wezi wa pesa za EPA walivyokalishwa chini na kuombwa kurudisha pesa walizokwapua? Hukumbuki kesi ya Ditopile kumpiga risasi dereva wa daladala? Alifanywa nini?

Usithubutu kumlinganisha Kilewo na Kapuya Bwana, hawa ni watu wa madaraja tofauti. Lakini Majaliwa alisema kwenye kitabu cha Kuli kwamba "yana mwisho haya".

Tiba
 

Fanya objective tv reporting ya hii kesi ukiweka wazi ushahidi kutoka pande zote kama unavyoshughulikia issues nyinginezo zinazokukera. Halafu waachie watazamaji wako wafikie uamuzi.
 
kama aliweza kushtakiwa MKAPA kwanini ishindikane kwa kapuya?jibu ni jepesi tu kwa kapuya mpaka sasa hajakutwa na kosa lolote lile.ila mumeo KILEO makosa yake hayahesabiki kila sehemu yupo,na karandinga za polisi(magereza)atazipanda sana.Nakushauri jiandae kutafuta mume mwingine akusaidie kulea mapacha hao.
 
mhusika mkuu kakimbia location ya kutengenezea film, lakini anasubiriwa movie liendelea kutengenezwa. Tukumbuke kutengeneza film la kutisha kama hili inabidi mhusika mkuu awe amejipanga.
 


Wewe kijana mbona huna heshima ? Unadiriki kuuliza Kapuya ni nani ? kifupi ni hivi.
Kapuya ni professor wa botany. ana milolongo ya shahada. ni mbunge. ni mheshimiwa. alikuwa waziri wa majeshi na vifaru na vita na ndege za kivita na meli za kivita. alikua anatumia ndege za kivita kwenda kuopolea mabibi Tabora. ni Alhaj yaani ameswali Mekkah wewe unajua Mekkah . ana bendi ya mziki. ni mpenzi na bingwa wa kuyarudi mangoma hasa na vibinti vinavyojifunza kuosha k. Kapuya ni mume na anafamilia pia anakaa karibu na Morogoro store oysterbay. pia anamtandao mkubwa sana. pia ni mpenzi na mwanachama wa simba. haivi na wabunge wa Tabora kama Six na Bean ( umoja wa maharage)
 
ikitoka ya zito na chadema,sijui itafuata ipi ... maaana ya kapuya ilikuwa pati gaazeti....
 
Kapuya yuko Sweden anasomea uwaziri mkuu. akija kutoka huko atakuja kuwahukumu wote mnaomchokonoa. chezea waziri mkuu mtarajiwa weye
 
Bongo movie in action.

Starring:
Jakaya Mrisho Kikwete a.k.a. Bingwa wa Kucheka bila sababu / Mze wa huruma kwa washikaji wake
Juma "Mbakaji" Kapuya
Ridhiwani "Kibaraka" Kikwete
Nape "Vuvuzela / Bibi" Nnauye

Also with....

A. Kinana as Jambazi lililo tukuka acting as mwana siasa


jazieni wengine...wamenichosha hawa watu.
 
Ulichokipost ndiyo ukweli halisi,hivi tujiulize kama hili suala la Kapuya ambalo linaonekana dhahiri lina ushshidi wa kutosha,hasa tukizingatia simu iliyotumika kutoa vitidho kwa huyo binti,ni namba iliyosajiliwa na TCRA,kwa jina la Juma Kapuya.

Tujaribu kuimagine kama hiyo skendo,ingekuwa inamkabili mmojawapo wa wabunge wafuatao, Lema,Sugu au Tundu Lissu,tungeshuhudia spidi ya ajabu ya kushughulikia kesi hiyo,na kwa vyovyote vile wakati huu kesi hiyo ingekuwa ishatinga mahakamani.

Si mnakumbuka wakati ule Sugu alivyojaribu tu kupost kwenye page yake ya fb,kwa kumpa sifa ya u.p.u.m.b.a....

Si mliona namna jeshi letu la polisi lilivyoipeleka fasta kesi hiyo mahakamani,na hatimaye Mahayana yetu haikutaka kujieegemeza kwa magamba na ikaitupila mbali kesi hiyo.

Sasa waTZ,tunalazimika kuyaamini kwa asilimia 100 maneno ya Kapuya,kuwa wao ndiyo wrnye nchi,na ndiyo maana watoto wao ndiyo wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya,akatufunua akili kwa kutuambia kuwa,je waTZ,tulishawahi kusikia hata mtoto mmoja wa kigogo kukamatwa?!!!!
 
Joyce.....huko fiti. I love your confidence....tunahitaji wanawake kama wewe.
 
Uko kumtetea mmeo kwa gharama ya Kapuya? Conflict of interest, ungeweza kuipanga bila kuweka personal interest yako usoni ki hivyo.

acha upoyoyo wewe...Joyce ametumia issue ya Kapuya kama reference, sio kama comparison. Understand?
 

usiangalie upande mmoja tu wewe kilaza---na huyo MBAKAJI yuko wapi? wewe ndiye mtetezi wake? kwa nini asijitokeze ajitetee mwenyewe? kubaka abake mwingine, mauno ukate wewe? acha unafiki wako.
 
Haaaah haaaah ushahid upo,kwanini asihusishe suala la kilewo na kapuya? Na ili hali yote yana rb? Kwanini searching kilewo iwe more intensive kuliko kapuya ambae ana kosa kubwa?

tatizo la magamba wanabisha hata vitu vyenye ushahidi bayana. hao ndio magamba wabakaji ndugu yangu, watakuumiza kichwa bure.
 
Hii ishu ilishapitwa na wakati. Hamna ushaidi na watu tushasahau, kama una habari nyingine leta tuishikie bango afu tunaitupa mbali ndani ya siku3. Sisi ndo mitanzania tunasahau haraka zaidi ya kuku
 
Mbunge wa Urambo Magharibi Juma
Kapuya (CCM), anayetuhumiwa
kutishia kumuua binti anayedaiwa
kumbaka, amerejea nchini jana
akitokea nchini Sweden, huku Jeshi la
Polisi likikwama kumtia mbaroni kama
lilivyokuwa likitamba.
Wakati mbunge huyo akiwasili nchini
na kupokewa na kusindikizwa na
wapambe wake, Bunge limeridhia
kukamatwa kwake kwani tuhuma
zinazomkabili ni za jinai na
zinamhusu yeye binafsi.
Mbunge huyo ambaye amepata kuwa
waziri, amerejea nchini jana majira ya
saa tano asubuhi kwa ndege ya
Shirika la Qatar na kutua katika
uwanja huo wa ndege na kuondoka
kupitia mlango wa watu maarufu
(VIP).
Habari zinasema mbunge huyo
alipoondoka katika Uwanja wa Ndege
wa Mwalimu Julius Nyerere alikwenda
moja kwa moja kwenye moja ya hoteli
za jijini Dar es Salaam na kuacha
mizigo yake, kisha kuondoka na gari
namba T 104 AEZ Toyota, huku
wapambe wake wakiwa katika gari
namba T 170 BGY aina ya Benz.
Wakati Kapuya akitua katika uwanja
huo wa ndege, polisi ambao kwa
takriban wiki moja sasa wamekuwa
wakitamba kutaka kumtia mbaroni
mara baada ya kutua, baadhi yao
walionekana wakisalimiana naye kama
vile hawakuwa wanamuwinda.
Tangu Profesa Kapuya alipoondoka
nchini huku akizongwa na kashfa ya
kutishia kumuua binti anayedaiwa
kumbaka, polisi wamekuwa wakitamba
kutaka kumtia mbaroni na kuahidi
kuwa mara baada ya kurejea nchini
mbunge huyo angekuwa chini ya
ulinzi.
Gazeti hili juzi liliripoti mkakati wa
polisi kutaka kumtia mbaroni mbunge
huyo mara atakapotua kwenye Uwanja
wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere
jijini Dar es Salaam.
Habari kutoka ndani ya Jeshi la Polisi
zilisema kuwa kumekuwa na shinikizo
kutoka ndani na nje ya jeshi hilo
kutaka waziri huyo wa zamani ahojiwe
kuhusiana na tuhuma zinazomkabili
za kutishia kumuua binti anayedaiwa
kumbaka.
Hatua ya polisi kutaka kumnasa
Kapuya akiwa uwanja wa ndege
inadaiwa kuchangiwa na taarifa ya
gazeti hili wiki iliyopita kwamba
baadhi ya vigogo wa jeshi hilo
walishiriki kufanikisha safari ya
mbunge huyo nje ya nchi huku
wakijua fika anatakiwa na polisi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa
Kinondoni, Camilius Wambura,
alipoulizwa kuhusu ujio wa Kapuya na
kisha kuendelea kuachiwa huru,
alisema yuko nje ya Jiji la Dar es
Salaam na hakuwa na taarifa za
kurejea kwake.
Hata hivyo Kaimu Kamanda wa Polisi
Mkoa wa Kinondoni, Yusuph Mrefu,
alipoulizwa kuhusu sakata la Kapuya,
alisema hakuwa na taarifa ya kile
kinachoendelea, kwa kuwa ndiyo
kwanza amekabidhiwa ofisi.
“Mimi niambie jambo jipya, hapa
ofisini ndiyo leo nimeingia kukaimu,
sasa hayo mambo nitayajulia wapi, ni
vema ungeniambia jambo jipya
tuweze kutatua,” alisema Mrefu.
Kwa upande wake, Bunge limesema
kuwa sakata la Profesa Kapuya
lilifikishwa bungeni na kubaini kuwa
ni la jinai, hivyo linapaswa kwenda
kwenye mkondo wa kisheria.
Akizungumza na gazeti hili jana,
Katibu wa Bunge, Thomas Kashilila,
alithibitisha kulifahamu suala hili,
kwani binti aliyedai kubakwa na
kutishiwa kuuawa na mbunge huyo
alikwenda bungeni wakati Bunge la
13 lilipokuwa likiendelea mjini
Dodoma.
“Suala la binti huyo lilifikishwa ofisini
kwangu kupitia kwa msaidizi wangu
ambaye alisikiliza hoja na rai yake na
kushauriwa kuwa hilo ni suala la jinai
na linapaswa liende katika mkondo
wa kisheria, hata hivyo binti huyo
alitambulishwa kwa Spika kama
kiongozi wa wabunge na kuelekeza
kuwa tumshauri alifikishe katika
mamlaka husika,” alisema Kashilila.
Tayari binti anayedaiwa kubakwa na
kutishiwa kuuawa ameshafungua
jalada namba OB/RB/21124/13 katika
Kituo cha Polisi Oysterbay, jijini Dar
es Salaam na Jeshi la Polisi likaahidi
kumkamata Kapuya popote alipo ili
kujibu tuhuma hizo zinazomkabili.
Tayari makachero wa polisi wameanza
kufuatilia namba ya simu inayodaiwa
kutumika kumtisha binti huyo na
wakati mwingine kutumika kurusha
pesa kwa njia ya mtandao,
zinazodaiwa kutoka kwa Profesa
Kapuya kwenda kwa binti huyo.
Nawasilisha.
 
Watu wa buku 7 za Lumumba wanakuwa wakali kweli akiguswa Kapuya.
Kazi mnayo mwaka huu na hizo njaa zenu za buku 7.
 
wanawake live, vizuri sana dada yangu, bakanyia waka mpaka kieleweke
 
Siku izi wabakaji wamekuwa wajanja dada yangu wanavaa condom kwaiyo ni ngumu kuziona sperms.
 
Joyce Kiria, unatakiwa uende shule mara moja, nilisikia kuwa unataka kuanza sekondari, itakusaidia sana na itakuokoa. tatizo lako kubwa sana wewe unawahukumu watu bila kuwa na ushahidi, unatumia hisia kuhukumu watu, ndio maana huna akili. kipindi chako cha wanawake live kina mapungufu mengi sana nitakayokueleza hapa chini kiasi kwamba huwa sipendi hata kukuona kwasababu wewe ni mfano mbaya sana wa wanawake hapa duniani. ungalijua wanawake wenzio wengi sana wasivyokupenda, achilia mbali wanaume wanaokudharau, ungejirekebisha au kuomba ushauri. nitakueleza yafuatayo kukusaidia.

  1. niliangalia kipindi chako mara ya mwisho,ulikuwa unamhoji mama mmoja ukisema anamtumikisha mtoto kama housegirl, the way ulivyomnyanyasa yule mama, ulionyesha huna akili kabisa. kwanza ulimhukumu bila kumpeleka mahakamani, polisi walikuachia ukaanza kumtukana yule mama hadharani kana kwamba wewe nawe ni mtu fulani, wewe ni nani hata umhukumu mtu na kumtukana? mbona ulivyomhoji yule mama wa mtoto ilionekana kuwa yule mama wa kichaga hakuwa na nia mbaya na mtoto lakini wewe umeshamtukana? hasira zako za kupigwa talaka na yule bwana wako aliyekubemenda miaka 8 unazimalizia kwa raia?
  2. pili, wewe si mwanamke halisi, kwasababu ulishindwa kuishi kwenye ndoa, hata ndoa na huyo magwanda meusi haitadumu kwasababu ndani yako wewe si mwanamke halisi. wanawake halisi hawako kama wewe, mwanamke yeyote aliyetoa talaka kwa mume wake wa ndoa huyo ni dem tu, that means hata huyo uliye naye unaweza kumpa talaka wakati wowote ndio maana nasema wewe sio mfano mzuri wa kuigwa kwa wanawake hapa duniani. halafu unachafua wake za watu na kuna siku utajikuta pabaya sana. hauna tofauti na mama ananilea nkya aliyetangazwa na waislam kuwa ni adui wa kwanza kwa waislam kwasababu alikuwa anachafua wanawake, vile unavyofikiri wewe kindoa unafikiri kila mtu anataka kuwa kama wewe na unataka kila mtu afuate ubovu na uchafu ulioufanya wewe. huna maana kwa kifupi.
  3. unapojiingiza kwenye siasa, siku zako kwenye icho kipindi zimehesabika, utarudi kuwa housegirl muda si mrefu. kama huamini maneno yangu subiri utaona. nakushauri fanya kipindi chako tena kwa adabu na achana na siasa, siasa ni mchezo mchafu, wewe unavyoonekana ni limbukeni na huna maana.
  4. tatu, ulipoongea na yule mama uliyemdhalilisha, ulisema kuwa umesikia mume wake huyo mama ni mwanasheria, ukasema kuwa kwani yeye mwanasheria ili avunje sheria? ukamdhalilisha na kumdhihaki sana huyo mwanasheria wakati hakuwepo kabisa wala hakuhusika na utoto wako. umewatukana wanasheria wote na nina uhakika siku ukiingia kwenye anga zao ama zako ama zao. ninajua ni kwasababu huna shule ndio maana ni limbukeni. siku we mwanamke ukiingia kwenye anga zangu, hutaamini macho yangu. nyambafuuuuuuuuuuuuuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…