Karanga za Diamond zimesababisha umasikini kwa 30%

Hakuna opportunity Diamond aliyoiona hapo, hizo karanga zilikuwepo mtaani kabla na hazikuwa zinaitwa Diamond karanga na bei ilikuwa ni hiyohiyo mia tatu na packaging ilikuwa hiyohiyo, wazalishaji wanaitwa Smart industries,ndio watengenezaji wa Chipsy snacks zile za watoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho katika principles za biashara. Ukitaka biashara yako ifanye vizuri jitahidi kutoa quality services including marketing. Kama Diamomd kaweza hayo them its survival for the fittest.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
diamond ni jina tu..the mastermind behind ni kampuni inaitwa smart industry waliokuwa wanatengeneza chama chipsy snack
 
Karanga za Diamond za watoto.
Mie nakula karanga mbichi.
 
Unacho sema ni kweli kwani hiyo biashara imeingiliwa ssa,ila kwa upeo wako ungekuja na wazo chanya kuwa wengine waje kwa style nyingine ili kufanya soko la ushindani liwe kubwa,unavyo ongea kama vile umedhurumiwa haki yako ya mcngi au haki yenu ya mcngi,hapana ukiwa na roho hiyo hauta fanikiwa hata kidogo tena unatakiwa kushukuru challenge imekuja ssa kama mnafanya biashara kama yake ndo mfanye mapinduzi ssa,change ur cycle bro

Sent from my HTC Desire 516 dual sim using JamiiForums mobile app
 
Acheni dogo apate commision yake
 
Ndani ya kipakitI kila karanga moja ina radha yake hilo ni tatizo zingine chumvi zingine sukari zingine kama uteute yaani ni za ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…