Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa nadhani unaongelea karanga za kusaga ambazo huongezwa kwenye mapishi kama unavyoweka nazi. Mimi nataka kujua kama karange zenyewe zinafaa kuungwa na kutumika kama mboga ya kulia wali, ugali nk kama maharageKaranga kuna baadhi ya Mapishi wanatumia kuunga kama ilivyo NAZI.
Mara nyingi inakuwa MBOGA imeungwa kwa Karanga.
Au SAMAKI ameungwa kwa Karanga.
Au NYAMA pia inaungwa kwa Karanga
Mbona kawaida sana hiyo? Karanga unaweza kuunga na Ikiwa pia kiungio.Wakuu,
Kuna mtu amewahi kujaribu kuunga karanga kwa kitunguu na nazi kama unavyounga maharage akaona inakuaje ukila na wali? Naona kama karanga ni laini na tamu kuliko maharage, njegere, choroko n.k Kama kuna aliewahi kujaribu anipe mrejesho..
Bibie FaizaFoxy amemaliza kila kitu.Hapa nadhani unaongelea karanga za kusaga ambazo huongezwa kwenye mapishi kama unavyoweka nazi. Mimi nataka kujua kama karange zenyewe zinafaa kuungwa na kutumika kama mboga ya kulia wali, ugali nk kama maharage
Raha zaidi uzichemshe kwanza karanga mbichi, kisha uziunge kama ulivyoelekeza, aaah, utajing'ata ulimi.Kitunguu na mafuta kidogo sana ya kukaangia kitunguu unaweka nyanya ikikaribia kuiva unaweka karanga zilizosagwa usiweke nyingi weka binzari ya njano na chumvi rost vizuri mpaka ianze kutoa mafuta weka maji kidogooo tayari kwa kula kwa wali, ndizi, na ugali utajiramba kinoma
Waganda hii stew wanaipenda sana kwenye misosi yao.Kitunguu na mafuta kidogo sana ya kukaangia kitunguu unaweka nyanya ikikaribia kuiva unaweka karanga zilizosagwa usiweke nyingi weka binzari ya njano na chumvi rost vizuri mpaka ianze kutoa mafuta weka maji kidogooo tayari kwa kula kwa wali, ndizi, na ugali utajiramba kinoma