karata

karata

LUBEDE

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
4,320
Reaction score
6,686
Wakuu kwanini karata picha zake zimekaa kitata?

Ile michoro ina maana yeyote na kuna yeyote anaelewa maana yake, hivi ziligunduliwa kwa ajili ya kuchezea kama tunavyocheza sisi au zina mambo yake meusi
tusiyoyafahamu?

Mwenye kujua lolote anitoe utando, sijawahi kuziamini hata!
Mkuu Mshana jr fika hapa kutusafisha tongotongo...
 
Hiyo ni kwenye baadhi ya michezo tu kaMa albastini, lakini michezo mingine huwa stop/special card au kwenye ya makonzi huwa ni saba as saba na A huwa ni moja.
Hahaaaa ahsante..
Kwanini namba hazijaanzia moja ?
Wale walio chorwa ni akina nani?
Nani kagundua karata na mwaka upi pia kwa matumizi yapi?
Nijibu dadaangu..
 
Back
Top Bottom