Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mhe. Cecilia Pareso leo amezindua kampeni za Ubunge wa jimbo la Karatu , hali ndio kama mnavyoona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto unawajua "mtoto ni yule ambaye unaweza kumwachia mkewe alale naye harafu asifanye kitu chochoteMbona kajaza watoto
Ndo taifa la kesho,hapo ni bila kubebwa na malori na kufata show za wasanii makadaMbona kajaza watoto
Kwanini usijiite Chamwino yetu ?Mbona kajaza watoto
Damu changa hiyo inajitambua,siyo CCM inajikongoja na wazee waliochoka kifikra ili iwalaghai kiulaini.Mbona kajaza watoto
Kwenye hiyo picha ni kweli wanaoneka watoto Wawili! Ila Wairaqui wana Sura zao, kama huyo Babu hapo kwa wasio wajua unaweza kumuita ‘baby’!Mbona kajaza watoto
Hata chattel yetu ni jina pia!😂kwanini usijiite Chamwino yetu ?
View attachment 1553633
Mh Cecilia Pareso leo amezindua kampeni za ubunge wa jimbo la Karatu , hali ndio kama mnavyoona
Halafu wewe jamaa wewe, naona unawatafuta ubaya makamanda 😂 😂 😂Mbona kajaza watoto
Hivi Ni mwalimu gani aliwafundisha kupiga Horizontal photograph kwenye population ya watu wengi?View attachment 1553633
Mh Cecilia Pareso leo amezindua kampeni za ubunge wa jimbo la Karatu , hali ndio kama mnavyoona
Baada ya hotuba yake Mh Magufuli aliwashukuru watu wote waliojikusanya kutoka mikoa mbali mbali nchini kwa kufika dodoma kuhudhuria mkutano huoHivi Ni mwalimu gani aliwafundisha kupiga Horizontal photograph kwenye population ya watu wengi?
Nikweli mnataka kutuaminisha kuwa nyie wapiga picha wa CDM hamjui kupiga picha za Aerial photograh.
Leta picha Kama hizi Ili tuelewe uhalisia wa unachokizungumuza.
View attachment 1553694View attachment 1553696
Kipimo chetu cha kuibiwa kura....
Nyomi
Happens everytime....
Kura zinapigwa na taifa la leo mkuuNdo taifa la kesho,hapo ni bila kubebwa na malori na kufata show za wasanii makada
Watoto ni Taifa la keshoMbona kajaza watoto
Wela wela welaaaa mpenzi wangu Secilia Paresso! Ndiyo maana yule jamaa akiamua kuunga juhudi! Hivi CCM wamemsimamisha nani huko? Kazi anayo!!View attachment 1553633
Mhe. Cecilia Pareso leo amezindua kampeni za Ubunge wa jimbo la Karatu , hali ndio kama mnavyoona
Huyo ni mdada. Haja wabeba kwa malori. Fana nisha na malori na vimemo vya Dodoma juzi.View attachment 1553633
Mhe. Cecilia Pareso leo amezindua kampeni za Ubunge wa jimbo la Karatu , hali ndio kama mnavyoona