Uchaguzi 2020 Karatu: Uzinduzi wa kampeni za Mgombea Ubunge wa CHADEMA zatikisa

Uchaguzi 2020 Karatu: Uzinduzi wa kampeni za Mgombea Ubunge wa CHADEMA zatikisa

Baada ya hotuba yake Mh Magufuli aliwashukuru watu wote waliojikusanya kutoka mikoa mbali mbali nchini kwa kufika dodoma kuhudhuria mkutano huo
Walijikusanya au walikusanywa??? Ongea ukweli na nyoosha kiswahili, watu wamefuatwa na mabasi hadi mtera na Kondoa na mikoa ya jirani, alafu mtu unaletea sentesi za uongo eti walikusanyika! Wapi na wapi?
 
3 September 2020
Karatu, Arusha
Tanzania

CHADEMA Kampeni Uchaguzi 2020 jimbo Karatu



Mgombea ubunge jimbo la Karatu mkoa wa Arusha kwa tiketi cha Chadema, Cecilia Pareso akizungumza katika mkutano wa kampeni Kijiji cha Endamarariek
Source : mwananchi digital
 
Back
Top Bottom