Kardinali Pengo aache kuchanganya dini na siasa, anatukera

Kardinali Pengo aache kuchanganya dini na siasa, anatukera

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Kadinali Pengo huyu Novemba mwaka 2019 akiwa kwenye kongamano la kumsifia Magufuli alisema kauli hii ifuatayo “Tunajiuliza baada ya Magufuli atakuwa nani ila mkiwepo wa aina yako (Makonda) wengi nisingekuwa na shaka ya kuwaza nani atafiata baada yake Magufuli” na akamalizia kwa kusema anatamani Makonda awe Rais wa Tanzania baada ya Magufuli.

Leo Kadinali Pengo anatuletea uchawi ule ule na kuanza kutumia kanisa na ukadinali wake kutaka kumsafisha Makonda na mauchafu yaniyomtapakaa mwili mzima akiwa na ndoto kuwa atakuja kuwa Rais wa Tanzania kama alivyokuwa anaota mwaka 2019.

Ni Nyema akashauriwa kuwa kama mahusiano yao ya vibuyu wanayoyafanya gizani hayatoshi basi wawaheshimu watanzania hata kidogo kuliko kutumia ofisi za umma na kanisa kufanya huu upuuzi wanaoufanya.

Kadinali Pengo ameshiriki kwa kiasi kikubwa sana kwenye maumivu.

Pia, soma=> Askofu Bagonza: Kanisa likijenga Shule ama Hospitali halihojiwi na Serikali, lakini likihoji mbona dawa hakuna linaambiwa lisichanganye dini na siasa
 
Pengo means hamna kitu. Ni aibu baba mtu mzima kuwa kibaraka na mpambe wa pumbavu mmoja
 
dani ya nchi hii na kukaliwa kimya kwa sabot ya ukadinali wake au ukatoliki wake.

Kadinali Pengo asifikiri tumesahau kuwa yeye ndiye aliyempa Magufulu Bwana Joackin Nyingo (mtu katili sana na havari kuwahi kutokea katika Ikulu ya Magogoni) kama msaidizi binafsi wa Magufuli na Joackim Nyingo huyu mikono yake imejaa damu za kila mtu aliyepotezwa au kuuwawa na utawala ule. Joackim Nyingo alikuwa na list ya watu wa kutekwa na kuuwawa na kupotezwa na hayo ni maelekezo kutoka kwa bosi wake Magufuli na mtu huyu alikuwa ni mtu wa Kadinali Pengo na akamkabidhi Magufuli amsaidie kazi na hiyo ndiyo kazi aliyokuwa anamsaidia kuifanya kwa watanzania.

Kadinali Pengo huyu Novemba mwaka 2019 akiwa kwenye kongamano la kumsifia Magufuli alisema kauli hii ifuatayo “ Tunajiuliza baada ya Magufuli atakuwa nani ila mkiwepo wa aina yako (Makonda) wengi nisingekuwa na shaka ya kuwaza nani atafiata baada yake Magufuli” na akamalizia kwa kusema anatamani Makonda awe Rais wa Tanzania baada ya Magufuli.

Leo Kadinali Pengo anatuletea uchawi ule ule na kuanza kutumia kanisa na ukadinali wake kutaka kumsafisha Makonda na mauchafu yaniyomtapakaa mwili mzima akiwa na ndoto kuwa atakuja kuwa Rais wa Tanzania kama alivyokuwa anaota mwaka 2019. Ni Nyema akashauriwa kuwa kama mahusiano yao ya vibuyu wanayoyafanya gizani hayatoshi basi wawaheshimu watanzania hata kidogo kuliko kutumia ofisi za umma na kanisa kufanya huu upuuzi wanaoufanya.

Kadinali Pengo ameshiriki kwa kiasi kikubwa sana kwenye maumivu
Pengo anaombea watu wote wanasiasa na wasio wanasia wezi na wasio wezi
 
Back
Top Bottom