Kardinali Pengo: Wanaomuita Rais Dikteta wajitafakari upya. Je, watoto kusoma bure na kujenga Hospitali ni udikteta?

Kardinali Pengo: Wanaomuita Rais Dikteta wajitafakari upya. Je, watoto kusoma bure na kujenga Hospitali ni udikteta?

Uganda gani unaiongelea? Ya Kisarawe labda. Ila kama ni hii ambayo Yoweri Museveni ni Rais, Iddi Amin anabakia ni dikteta tu.

Labda kasoro kule kaskazini wilaya aliyotoka kwenye kabila la Wanubi ambalo ndilo kabila lake. Kwa hiyo na huyu Dikteta uchwara anakubalika huko kwa wasukuma wa Chato.
Mkuu acha kutukana watu kwa sababu ya chuki za kitoto.

Nchi hii ingekuwa inaongozwa kidikteta mimi na wewe muda huu tusingekuwa hapa jukwaani.
 
Kanisa katoliki Rwanda lilichangia pakubwa kwenye mauji ya kimbari, Mh Pengo ni mtu mkubwa sana katika taifa letu lakini mzee amezeeka vibaya sana, unafiki unamtesa sana, kumbe kipindi kile Gwajima hakumuonea....simtenganishi Pengo na kanisa Katoliki la nchini Rwanda la 1994. Yote kwa yote Magufuli anajiahidia kwa kiasi chake.
 
Mkuu acha kutukana watu kwa sababu ya chuki za kitoto.

Nchi hii ingekuwa inaongozwa kidikteta mimi na wewe muda huu tusingekuwa hapa jukwaani.
Nchi ni ya kidikteta full stop. Mimi nina survive kwa vile inabidi tujifunze namna ya kuishi kwenye tawala dhalimu na katili kama hizi.
 
Mkuu acha kutukana watu kwa sababu ya chuki za kitoto.

Nchi hii ingekuwa inaongozwa kidikteta mimi na wewe muda huu tusingekuwa hapa jukwaani.
Nchi ni ya kidikteta full stop. Mimi nina survive kwa vile inabidi tujifunze namna ya kuishi kwenye tawala dhalimu na katili kama hizi.
 
Namuunga mkono pengo,Hitler na mussoline walikuwa viongozi wazuri sana na wacha mungu
 
Sitaki kuamini kama ni cardinal kaongea hayo
Mpaka tuone video. Maana hata mimi siamini, kwani sikuhizi teknolojia inaweza kuunga unga vitu.

Na kama kasema hayo, inawezekana huyu mzee anaanza kupata ugonjwa uitwao "Demens" simuombei hivyo ila kama umempa ni mapenzi ya Mungu. Pole zake.
 
Haiwezekani msomi kama Askofu Pengo anaweza kusema hayo maneno angekuwa Sheikh kasema hivyo ningekunali.
 
Pengo ana elimu kubwa ya Theology, lakini elimu ya URAI hana kabisa ni zero. Inabidi arudi shule na kusoma elimuya uraia hata kwa kiwango cha darasa la saba, itamsaidia sana kuongea point katika majukwaa kama hayo.

Ushauri wangu: Ayakimbie majukwaa hayo kwa kulinda heshima yake.
 
Leo Katika kikao kilichoandaliwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda na viongozi wa dini kardinal Pengo amemtetea dictator Mussolin aliyetawala Italia enzi hizo kama ifuatavyo

Mussolin aliondoa baa au balaa la Malaria Katika mji mdogo wa Italia, Kwa mujibu wa kardinal Pengo wakati huo malaria ilitishia maisha ya watu hapo Italia

Kuna mambo mazuri ya Mussolin na Hiltrer hayazungumzwi kwa mujibu wa kardinal Pengo

Pengo amesisitiza darasani watu hufundishwa Hiltrer aliua wayaudi zaidi ya Milioni sita lakini hawataki Kuongelea mazuri ya Hitler

Pengo ameiomba jamii itofautishe kati ya Dictate na neno dictator

Akijenga hoja kuhusu watu wanaomuandika mheshimiwa Rais kuwa ni dictator,amewaomba watafakari upya

Je, kujenga hospital ni udikteta? Amehoji kardinal Pengo

Je, watoto kusoma bure wao na wajukuu zao ni udikteta? Amehoji kardinal Pengo

Amepongeza uongozi wa Makonda kama moja ya watu vijana wanamsaidia Rais

Aidha Kardinal Pengo amesema alikuwa na hofu Rais wa sasa akimaliza muda wake nani atafaa na kufanya kama Rais wa sasa, Hofu imepungua kuona kuna vijana kama Makonda wanachapa kazi

Kardinal Pengo amesisitiza uwepo wa vijana wachapa kazi kama Makonda na wakijitokeza wengi hana shaka kabisa kazi za Rais zitaendelezwa vizuri

Kwa mujibu wa kardinal Pengo na Askofu mkuu mstaafu wa jimbo kuu la Dar es Salaam amesema haya mambo ya kumuita Rais dikteta anayasoma mitandaoni lakini pia kwa Uzee wake kuna watu wema wanampa taarifa nini kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii

Mwana Jamii Forum aitwaye "Barafu" ameelezea sana kwenye uzi mmoja jinsi Mussolin alivyoliteka kanisa wakati huo na kukandamiza Raia huko Italia

Hili la Hiltrer na Mussolin Nadhani ni elimu mpya kuwa kuna mambo mazuri walifanya

Tunaruhusu povu kwa wale wanaowalaumu viongozi wa kikatoliki, Kikubwa Wakatoliki kila jumapili kabla ya kuanza misa hutubu dhambi zao tofauti na wale wanaoanza kukusanya sadaka

====

Kardinali Pengo amewashangaa watu wanaomuita Rais wa Tanzania, John Magufuli dikteta na kueleza kuwa wanakosea.

Akizungumza leo Jumatatu Novemba 18, 2019 wakati wa mkutano uliowakutanisha viongozi wa dini na Mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda, Kardinali Pengo amesema kumekuwa na watu wanaozungumza maneno ya kupotosha kuhusu rais Magufuli.

“Katika mitandao kumezuka maneno kwamba Rais wetu ni dikteta. Hivyo yale anayoyafanya anashughulikia kuendeleza vitu kuliko kuendeleza watu.”

“Wanaongelea juu ya kushughulikia vitu kuliko watu, ni watu gani hao hawajashughulikiwa wakati mambo mengi yanafanyika kwa ajili ya watu,” amesema Kardinali Pengo

Kiongozi huyo wa kiroho amesema, “Ni lugha ambayo kwa akili zangu za kizee siwezi kuelewa, utakuwa unamshughulikia mtu kiasi gani kama unamfanya mtoto wake na mjukuu wake waende shule.”

Kardinali Pengo ambaye ni Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam amempongeza Makonda na kumtaja kuwa ni miongoni mwa wasaidizi bora wa Rais Magufuli.

“Nimefurahi, imenidhihirishia wewe ni kiongozi wa aina gani na tunamuomba Mungu atujalie viongozi wa aina yako wengi. Wewe (Makonda) ni mmoja kati ya wasaidizi bora wa Rais Magufuli.”

“Tunajiuliza baada ya Magufuli atakuwa nani ila mkiwepo wengi wa aina yako nisingekuwa na shaka ya kuwaza nani atafuata baada yake,” amesema

Chanzo: Mwananchi


Huyu mzee hata hajui demokrasia ni nini! Hapa North Korea watu wanasoma bure. Kanisa lenyewe halina demokrasia.
 
Leo Katika kikao kilichoandaliwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda na viongozi wa dini kardinal Pengo amemtetea dictator Mussolin aliyetawala Italia enzi hizo kama ifuatavyo

Mussolin aliondoa baa au balaa la Malaria Katika mji mdogo wa Italia, Kwa mujibu wa kardinal Pengo wakati huo malaria ilitishia maisha ya watu hapo Italia

Kuna mambo mazuri ya Mussolin na Hiltrer hayazungumzwi kwa mujibu wa kardinal Pengo

Pengo amesisitiza darasani watu hufundishwa Hiltrer aliua wayaudi zaidi ya Milioni sita lakini hawataki Kuongelea mazuri ya Hitler

Pengo ameiomba jamii itofautishe kati ya Dictate na neno dictator

Akijenga hoja kuhusu watu wanaomuandika mheshimiwa Rais kuwa ni dictator,amewaomba watafakari upya

Je, kujenga hospital ni udikteta? Amehoji kardinal Pengo

Je, watoto kusoma bure wao na wajukuu zao ni udikteta? Amehoji kardinal Pengo

Amepongeza uongozi wa Makonda kama moja ya watu vijana wanamsaidia Rais

Aidha Kardinal Pengo amesema alikuwa na hofu Rais wa sasa akimaliza muda wake nani atafaa na kufanya kama Rais wa sasa, Hofu imepungua kuona kuna vijana kama Makonda wanachapa kazi

Kardinal Pengo amesisitiza uwepo wa vijana wachapa kazi kama Makonda na wakijitokeza wengi hana shaka kabisa kazi za Rais zitaendelezwa vizuri

Kwa mujibu wa kardinal Pengo na Askofu mkuu mstaafu wa jimbo kuu la Dar es Salaam amesema haya mambo ya kumuita Rais dikteta anayasoma mitandaoni lakini pia kwa Uzee wake kuna watu wema wanampa taarifa nini kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii

Mwana Jamii Forum aitwaye "Barafu" ameelezea sana kwenye uzi mmoja jinsi Mussolin alivyoliteka kanisa wakati huo na kukandamiza Raia huko Italia

Hili la Hiltrer na Mussolin Nadhani ni elimu mpya kuwa kuna mambo mazuri walifanya

Tunaruhusu povu kwa wale wanaowalaumu viongozi wa kikatoliki, Kikubwa Wakatoliki kila jumapili kabla ya kuanza misa hutubu dhambi zao tofauti na wale wanaoanza kukusanya sadaka

====

Kardinali Pengo amewashangaa watu wanaomuita Rais wa Tanzania, John Magufuli dikteta na kueleza kuwa wanakosea.

Akizungumza leo Jumatatu Novemba 18, 2019 wakati wa mkutano uliowakutanisha viongozi wa dini na Mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda, Kardinali Pengo amesema kumekuwa na watu wanaozungumza maneno ya kupotosha kuhusu rais Magufuli.

“Katika mitandao kumezuka maneno kwamba Rais wetu ni dikteta. Hivyo yale anayoyafanya anashughulikia kuendeleza vitu kuliko kuendeleza watu.”

“Wanaongelea juu ya kushughulikia vitu kuliko watu, ni watu gani hao hawajashughulikiwa wakati mambo mengi yanafanyika kwa ajili ya watu,” amesema Kardinali Pengo

Kiongozi huyo wa kiroho amesema, “Ni lugha ambayo kwa akili zangu za kizee siwezi kuelewa, utakuwa unamshughulikia mtu kiasi gani kama unamfanya mtoto wake na mjukuu wake waende shule.”

Kardinali Pengo ambaye ni Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam amempongeza Makonda na kumtaja kuwa ni miongoni mwa wasaidizi bora wa Rais Magufuli.

“Nimefurahi, imenidhihirishia wewe ni kiongozi wa aina gani na tunamuomba Mungu atujalie viongozi wa aina yako wengi. Wewe (Makonda) ni mmoja kati ya wasaidizi bora wa Rais Magufuli.”

“Tunajiuliza baada ya Magufuli atakuwa nani ila mkiwepo wengi wa aina yako nisingekuwa na shaka ya kuwaza nani atafuata baada yake,” amesema

Chanzo: Mwananchi

Amekula maharage gani tena huyu?
 
Leo Katika kikao kilichoandaliwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda na viongozi wa dini kardinal Pengo amemtetea dictator Mussolin aliyetawala Italia enzi hizo kama ifuatavyo

Mussolin aliondoa baa au balaa la Malaria Katika mji mdogo wa Italia, Kwa mujibu wa kardinal Pengo wakati huo malaria ilitishia maisha ya watu hapo Italia

Kuna mambo mazuri ya Mussolin na Hiltrer hayazungumzwi kwa mujibu wa kardinal Pengo

Pengo amesisitiza darasani watu hufundishwa Hiltrer aliua wayaudi zaidi ya Milioni sita lakini hawataki Kuongelea mazuri ya Hitler

Pengo ameiomba jamii itofautishe kati ya Dictate na neno dictator

Akijenga hoja kuhusu watu wanaomuandika mheshimiwa Rais kuwa ni dictator,amewaomba watafakari upya

Je, kujenga hospital ni udikteta? Amehoji kardinal Pengo

Je, watoto kusoma bure wao na wajukuu zao ni udikteta? Amehoji kardinal Pengo

Amepongeza uongozi wa Makonda kama moja ya watu vijana wanamsaidia Rais

Aidha Kardinal Pengo amesema alikuwa na hofu Rais wa sasa akimaliza muda wake nani atafaa na kufanya kama Rais wa sasa, Hofu imepungua kuona kuna vijana kama Makonda wanachapa kazi

Kardinal Pengo amesisitiza uwepo wa vijana wachapa kazi kama Makonda na wakijitokeza wengi hana shaka kabisa kazi za Rais zitaendelezwa vizuri

Kwa mujibu wa kardinal Pengo na Askofu mkuu mstaafu wa jimbo kuu la Dar es Salaam amesema haya mambo ya kumuita Rais dikteta anayasoma mitandaoni lakini pia kwa Uzee wake kuna watu wema wanampa taarifa nini kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii

Mwana Jamii Forum aitwaye "Barafu" ameelezea sana kwenye uzi mmoja jinsi Mussolin alivyoliteka kanisa wakati huo na kukandamiza Raia huko Italia

Hili la Hiltrer na Mussolin Nadhani ni elimu mpya kuwa kuna mambo mazuri walifanya

Tunaruhusu povu kwa wale wanaowalaumu viongozi wa kikatoliki, Kikubwa Wakatoliki kila jumapili kabla ya kuanza misa hutubu dhambi zao tofauti na wale wanaoanza kukusanya sadaka

====

Kardinali Pengo amewashangaa watu wanaomuita Rais wa Tanzania, John Magufuli dikteta na kueleza kuwa wanakosea.

Akizungumza leo Jumatatu Novemba 18, 2019 wakati wa mkutano uliowakutanisha viongozi wa dini na Mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda, Kardinali Pengo amesema kumekuwa na watu wanaozungumza maneno ya kupotosha kuhusu rais Magufuli.

“Katika mitandao kumezuka maneno kwamba Rais wetu ni dikteta. Hivyo yale anayoyafanya anashughulikia kuendeleza vitu kuliko kuendeleza watu.”

“Wanaongelea juu ya kushughulikia vitu kuliko watu, ni watu gani hao hawajashughulikiwa wakati mambo mengi yanafanyika kwa ajili ya watu,” amesema Kardinali Pengo

Kiongozi huyo wa kiroho amesema, “Ni lugha ambayo kwa akili zangu za kizee siwezi kuelewa, utakuwa unamshughulikia mtu kiasi gani kama unamfanya mtoto wake na mjukuu wake waende shule.”

Kardinali Pengo ambaye ni Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam amempongeza Makonda na kumtaja kuwa ni miongoni mwa wasaidizi bora wa Rais Magufuli.

“Nimefurahi, imenidhihirishia wewe ni kiongozi wa aina gani na tunamuomba Mungu atujalie viongozi wa aina yako wengi. Wewe (Makonda) ni mmoja kati ya wasaidizi bora wa Rais Magufuli.”

“Tunajiuliza baada ya Magufuli atakuwa nani ila mkiwepo wengi wa aina yako nisingekuwa na shaka ya kuwaza nani atafuata baada yake,” amesema

Chanzo: Mwananchi
Kama makonda na Jiwe wanasifiwa na Pengo ,sasa najifunza jambo hapa.
Maana Pengo hajawahipo kutowa neno kuhusu uadilifu wa Pr.Assad,wala Kupigwa risasi Tundu lisu,na sijui kama alihesabu mauwaji ya Aqwilin kuwa ni dhambi ya watawala.
Ama kweli
Kundu la nyani si aibu kwa tumbili.
Ikiwa watakatifu wajao ni akina Jiwe na Makonda ,basi muacheni shetani Aabudiwe kwa raha zake.
 
Mkuu acha kutukana watu kwa sababu ya chuki za kitoto.

Nchi hii ingekuwa inaongozwa kidikteta mimi na wewe muda huu tusingekuwa hapa jukwaani.

..Kadinali ameteleza.

..Kwa nafasi yake hakupaswa kuwasifia Hitler na Mussolini ili kumtetea Jpm.

..kwenye nchi za wenzetu angelazimika kuomba radhi.

..the good thing amezungumza kwa Kiswahili hivyo vyombo vya habari vya mabeberu haviwezi kujua ameongea nini.
 
Back
Top Bottom