Kareem Mandonga kusherehesha siku ya mwananchi,CAF final pre party

MANDONGA :
Mtu anayejigamba sana ila kiuhalisia hana viwango hivyo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asilimia kubwa ya Wasanii Tanzania ni YANGA. Kwa mfano Ali Kiba, Harmonize, Wema Sepetu, Steve Nyerere, Baba Levo, Irene Uwoya, Lady Jayde, Madee n.k Viongozi wangewatumia vizuri kibiashara wangeweza kuiingizia Klabu mapato makubwa. Kumbe na huyu mwamba wa JWTZ ni Mwananchi?
 
Shaaban kaoneka .. shaban kaoneaka. Shaban kaoneka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…