KARI-Improved Kienyeji, Unaweza kuwa miongozi mwa watu wa mwanzo kupata hii breed

KARI-Improved Kienyeji, Unaweza kuwa miongozi mwa watu wa mwanzo kupata hii breed

Tutawatum watafika tu, Wa mwezi ni kazi kidogo labda wiki Mbili, wanakuwa wakubwa na hawana shida kabisa, Kwa ho wa wiki mbili itakuwa Tsh 3500/
tatizo langu sikai sehemu ambayo nafuga hao kuku, naangalia uwezekano kama hao watunzaji wataweza kweli wakiwa wadogo sana. nisijepata hasara. nilitamani ninunue kama 50 hivi nijaribu...
Muda huo wa wiki mbili unakuwa ulishawapa chanjo muhimu? au ndo itabidi nianze nao?
 
tatizo langu sikai sehemu ambayo nafuga hao kuku, naangalia uwezekano kama hao watunzaji wataweza kweli wakiwa wadogo sana. nisijepata hasara. nilitamani ninunue kama 50 hivi nijaribu...
Muda huo wa wiki mbili unakuwa ulishawapa chanjo muhimu? au ndo itabidi nianze nao?

Hapo Kwenye Red sijakupata, Kuhusu Chanjo ya wanakuwa wameisha pewa Mareks, New castle, na Gumbora wewe utafanya marudioa ya hizo, Unawapa elimu tu kwa sababu hata wakubwa bila matunzo watakufa tu, si kwamba kuku wakubwa ndo wakufanyia majaribio, no kikubwa ni kufuata kanunuzi zote A to Z
 
Hapo Kwenye Red sijakupata, Kuhusu Chanjo ya wanakuwa wameisha pewa Mareks, New castle, na Gumbora wewe utafanya marudioa ya hizo, Unawapa elimu tu kwa sababu hata wakubwa bila matunzo watakufa tu, si kwamba kuku wakubwa ndo wakufanyia majaribio, no kikubwa ni kufuata kanunuzi zote A to Z
Asante, nitakutafuta nikiwa tayari kuwachukua, ngoja niweke mambo mengine sawa...
Ila sijui kwa nini sipendi kuku weusi, ukinitumia naomba sana wasiwe weusi, lol!
 
Asante, nitakutafuta nikiwa tayari kuwachukua, ngoja niweke mambo mengine sawa...
Ila sijui kwa nini sipendi kuku weusi, ukinitumia naomba sana wasiwe weusi, lol!

Tehe tehe, si ndo wamejaa huko Dar? wale wa kutoka kwa yule Mama Raisi? Ok nitakupatia wa Modao doa full ila usishnagae wanatotoa kina kuwepo kifaranga cheusi,
 
Tehe tehe, si ndo wamejaa huko Dar? wale wa kutoka kwa yule Mama Raisi? Ok nitakupatia wa Modao doa full ila usishnagae wanatotoa kina kuwepo kifaranga cheusi,
ha haaaa, yaani siwapendi haswaaaa, wa madoa poa ila nawapenda sana hao wa rangi kama hiyo picha ya mwisho ya post 19. Najua kwenye kutotoa watapatikana hao weusi, ila watakuwa victims wa visu kila wiki
 
ha haaaa, yaani siwapendi haswaaaa, wa madoa poa ila nawapenda sana hao wa rangi kama hiyo picha ya mwisho ya post 19. Najua kwenye kutotoa watapatikana hao weusi, ila watakuwa victims wa visu kila wiki

Tehe tehe, mi nilijua huwataki kabisa, kumbe utakuwa unawachinja, kwan wale wa malawi hufugi?
 
Chasha nina hitaji vifaranga 4500 vya mwezi mmoja vya hawa kuku kwa ajili ya vikundi vyetu na nime ku pm baadhi ya maelezo na bado nafanya mawasiliano na yule muheshimiwa anaye hitaji vifaranga 900 anamalizia kujenga banda lake
 
Last edited by a moderator:
Chasha nina hitaji vifaranga 4500 vya mwezi mmoja vya hawa kuku kwa ajili ya vikundi vyetu na nime ku pm baadhi ya maelezo na bado nafanya mawasiliano na yule muheshimiwa anaye hitaji vifaranga 900 anamalizia kujenga banda lake

Mkuu nimepeat ujumbe wako naufanyia kazi nitakupigia
 
Back
Top Bottom